TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, January 20, 2016

USHIRIKINA: MWANAMKE AKUTWA KWENYE PAA LA JENGO LA WIZARA TA FEDHA AKIWA MAZINGIRA YA KUTATANISHA, WAFANYAKAZI WAGOMA KUINGIA NDANI KWA HOFU YA KULOGWA, PICHA HIZI HAPA...!


Manamke ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa amekaa juu ya paa la majengo ya Wizara ya Fedha na Mipango jijini Dar es Salaam leo.


Mwanamke huyo akizungumza na watu waliokusanyika lakini alikuwa hasikiki vizuri maneno aliyokua akiongea kutokana na wananchi waliokusanyika kumuuliza maswali mengi kwa wakati mmoja. 
 

Polisi akiwa pembeni ya uzio wa majengo ya wizara ya fedha na mipango mara baada ya mwanamke huyo kuwa juu ya paa la nyumba hizo. Baada ya muda wafanyakazi wa wizara hiyo walimwekea ngazi na kumshusha ili kumhoji zaidi nini kimemfanya apande juu ya paa la majengo hayo.

WABUNGE CCM WAJIKOKI KUWAKABIRI UKAWA BUNGENI, LITAKUWA NI BUNGE LA KIHISTORIA..!




Tuesday, January 19, 2016

DC MAKONDA, WAZIRI LUKUVI WASHIKWA PABAYA, TAKUKURU KINONDONI YACHAFUKA, NUSRA WASABABISHE MAUAJI, NI BAADA YA AFISA WAKE ASIYYEKUWA MUADILIFU KUMPIGA VIBAYA MWANANCHI NUSU YA……..!

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Simon Sirro
 mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Nyakasangwe Peter Bilebela aliyekaa karibu na Mh Paul Makonda ambae anazungumza na wakazi wa eneo hilo.

Huyu ndiye mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Nyakasangwe Peter Bilebela akiwa kwenye moja ya majukumu yake na wananchi hivi karibuni

 Na Mwandisahi wa Maskanibongo gazeti
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua  hali ya utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na Waziri wa Ardhi Mheshiwa Lukuvi la kutaka maeneo yote yenye migogoro yapimwe ili kupata ufumbuzi wa mizozo hiyo inayoendelea Jijini , lakini kwa Kata ya Wazo hali imekuwa tofauti baada ya zoezi hilo kuonekana kuwa na dalili zote za kuvurugwa ili likwame.
Habari zaidi zilieleza kuwa  mgogoro huo wa Wazo mtaa wa Nyakasangwe umekuwa na mitihani mingi hasa kwa viongozi wa Serikali ya Mtaa huo unaongozwa na Mwenyekiti wake Peter Bilebela “Mchungaji”  Kwani mgogoro huo unaohusisha watu wenye fedha nyingi ambao hujiita wenye mashamba na wananchi ambao wanaoitwa wavamizi huku nyuma yake kukiwa na masirahi ya baadhi ya vigogo wazito.
Tukio la jana la kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Mtaa huo Peter Bilebela na watu waliofika ofisini kwake huku mwenyekiti huyo akiwa kwenye majukumu yake ya kikao na wajumbe huku watu hao wakijitambulisha kama wao ni maafisa TAKUKURU bila kuonesha vitambulisho.
Akiongea kwa masikitiko makubwa Mwenyekiti  mbele ya Kamanda Mkuu  wa TAKUKURU Mkoa wa Kinondoni wakati akihojiwa mara baada ya kufikishwa kwenye Ofisi za Takukuru zilizopo Magomeni Mapipa Jijini Dar es Salaam alisema maafisa hao waliokuwa wametumwa kumkamata walitumia ubabe mkubwa na nguvu nyingi kuliko hekima na ustaarabu kwa kumpiga mbele ya watu.
Mwenyekiti huyo aliendelea kumueleza Mkuu huyo wa Takukuru ambapo Maskanibongo ilifanikiwa kunasa mazungumzo hayo ambapo mwenyekiti huyo alimueleza kamanda huyo kuwa mara baada ya vijana hao kufika ofisini kwake walianza kumkamata mjumbe wake wa Serikali ya mtaa aliyefahamika kwa jina la Mohamed Mangundungundu .
Baada ya kumkata mjumbe huyo aliyekuwa amekaa nje ya ofisi kisha wakamfata Mwenyekiti ambae alikuwa kwenye kikao na kumtaka atoke nje ili apande kwenye gari, lakini mwenyekiti huyo aliwaambia kwamba kuna nini na wao ni akina nani lakini mmoja wa maafisa hao ambae hakufahamika jina lake na ndiye aliyelalamikiwa mwenye matege ya mikono kama baunsa alimjibu mwenyekiti kuwa  yeye hana sababu ya kujitambulisha wala kutoa kitambulisho anatakiwa kupanda gari watafahamiana huko wanakokwenda.
Hali hiyo ilianza kukusanya umati wa watu ambapo kiukweli kitendo cha maafisa hao kutotumia maarifa na akili kutimiza majukumu yao kingeweza kusababisha maafa kwani wananchi wengi walijua ni majambazi wamekuja kumteka mwenyekiti hao hivyo wananchi walishajipanga kwa mapambano na tayari vijan waliashaasha kuchukua silaha za jadi ili kuwakabili watu hao .
Hata hivyo wakati wananchi wakitafakari  juu ya watu hao walikuwa wamegoma kujitambulisha wala kuonesha vitambulisho awari afisa huyo mwenye matege mikononi alimpiga mwenyekiti huyo kibao cha uso hadi miwani kumdondoka huku akimvutia kwenye gari na kufanikiwa kumingiza ndani hapo ndipo walipojitambulisha kama wao ni maafisa wa Takukuru lakini hawakuonesha vitambulisho.
Kabla ya gari hiyo kuondoka wananchi mbali mbali waliokuwa wamefika ofisini pale kupata huduma waliwahoji kwa umakini huku watu maafisa na kuwabana kwa nini wanampiga mwenyekiti huyo ambae alikuwa anabishana nao kimaswali ya msingi ya kutaka wajitambulishe tu basi angeweza kutii, ndipo maafisa hao walipojibu kuwa wao wametumwa kumkamata na kumpiga na mkuu wao ambae ni Kamanda wa TAKUKURU Kinondoni kisha wakawasha gari na kuondoka kwa mwendo wa kasi ya ajabu.
Kimsingi tukio hilo liliwashtua watu wengi ambapo kama si rehema za mungu huwenda lingeweza kuleta maafa kitendo cha maafisa hao kushindwa kutoa vitambulisho mapema na kushindwa kujitambulisha halikuwa jema kwani katika eneo hilo kuna vita inaendelea kati mgogoro wa ardhi kati ya matajiri na wananchi hivyo wananchi wengi walidhani kuwa watu hao ni watekaji kwa jinsi pia walivyokuwa wanatumia ubabe na nguvu nyingi bila hakiri.
Mmoja wa wakazi wa eneo hilo ambae pia ni mtoto wa Waziri Mkuu mstaafu  aliyejitambusha kwa jina la Liberty Msuya alisema “ Ndugu mwandisahi  naweza kusema Mungu kasaidia unauona umati huu watu zaidi ya 800 wamekusanyika nusu saa tu na walikuja hapa kwa baada ya kusikia mwenyekiti wao katekwa na watu wasiofahamika sasa je unadhani wangewakuta hapa nini kingetoa unadhani wangetoka salama wangewezaje kupambana na nguvu hii ya uma? “ Alisema mtoto huyo wa waziri na kushauri kuna haja ya watumishi wa namna hiyo kupewa elimu sahihi jinsi ya kukamata watuhumiwa wao kutoa kitambulisha ni usalama wa kwanza kwao.
Hata hivyo baada ya  wananchi kusikia mwenyekiti wao ameshaondoka umati huo uliekea kituo cha polisi Wazo na kuzajana pale kwa ajiri ya kumuulizia kiongozi wao ambapo maafisa wa ngazi za jauu wa kituo hicho walifanyakazi ya ziada kuwaeleza kama kiongozi wao hayupo na wala hawana taarifa za kukamatwa kwao, licha maafisa wa Polisi kuwauliza kama waliokuja kuwamata walitoa vitambulisho? Lakini ilionekana hawakutoa huku Polisi nao wakiingia hofu huenda mwenyekiti huyo alikuwa ametekwa na wahuni na kuwataka waende kituo cha Polisi Oysterbay.
Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Mtaa ambao hawakuwepo eneo la tukio ambapo walimpigia RPC Kinondoni simu na kumueleza tukio hilo ambapo alisema kama watu hao walikuwa wametaja kama wao ni Takukuru  labda waende ofisi zao ndipo walipokwenda na kumkuta akiwa chumbani akihojiwa na maafisa wa ngazi za juu wa Takukuru Kinondoni.
Hata hivyo wananchi mbalimbali wakazi wa kata hiyo ya Wazo wamelani vikali tukio la kudhalilishwa kwa kupigwa mwenyekiti wao mbele ya watu kuhusu suala ya kukamatwa wanasema hawaingilii kwa kama kiongozi wao alikamtwa kwa ajiri ya uchunguzi wa hilo hawapingi kwa vile chombo hicho kina haki na mamlaka ya kufanya hivyo, ila tu kitendo cha kushindwa kuonesha vitambulisho vyao na kumpiga ndicho kimepelekea wao kushikwa na tahamaki kwani awali walijua ametekwa na watu huenda waliokuwa wametumwa na wenye mashamba ili wakamdhuru.
Hali hiyo kiukweli ingeweza kuleta maafa makubwa kwa jinsi staili waliyoitumia kumkamata kibabe mwenyekiti huyo kama kundi lile la watu wangekuwepo  tungeweza kuwakosa maafisa wetu hao wa Takukuru ambao ni muhimu kwa taifa letu hasa kipindi hichi cha kutumbua majibu, hivyo ni heri maafisa hao  baadhi wa Takukuru Kinondoni wakaendelea kupewa elimu au kurudi kwenye mafunzo upya kwa ajiri ya kupata maadili ya kufanya kazi kwa kuzingatia maadili ili kuepuka mdhara kwani hasira waliyokuwa nayo wananchi wa Wazo hakika wangeweza hata kuwachoma moto maafisa hao  kwani wasingeweza kuona mwenyekiti wao akipigwa mbele yao.
Gazeti hili lilifanya jitihada za kumtafuta Kamanda Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Kinondoni ili azungumzie sababu za kumatwa kwa Mwenyekiti huyo ambae alikamatwa akiwa kwenye kikao ofisini  jana tarehe 18 saa kumi jioni na kufikisha makao makuu ya Takukuru ziligonga mwamba mara baada ya simu yake kuita bila kupokelewa hadi habari hii inakwenda mitamboni.
Hata hivyo kitendo cha afisa takukuru huyo kushindwa kutumia akili na maarifa  kwenye utendaji wa kazi yake watu huku akisema katumwa na kamanda mkuu wa Takukuru Mkoa wa Kinondoni ampige mwenyekiti huyo kimetafriwa kama ni kukichafua chombo hicho Mkoa wa Kinondoni kwani haiaminiki kama kweli Kamanda huyo anaweza kumtuma afisa wake ampige mtu asiyekuwa na ubishi, bali itakuwa ni utovu wake wa nidhamu.

Sunday, January 10, 2016

SHEKH SHARIF KHAMIS WA TANZANIA AMTIKISA RAIS MUSEVENI WA UGANDA, MAAJABU ALIYOYAFANYA HUKO YAMSHANGAZA, WANANCHI WA UGANDA WASHINDWA KUAMINI KAMA KIJANA HUYO NI BINADAMU WA KAWAIDA AU NI KITU GANI TOKA KWA MUNGU, PICHA ZA TUKIO HIZI HAOA..!


Rais Yoel Kaguta Museveni wa Uganda ambae baada ya kusikia na kuona maajabu yaliyofanywa nakijana Shekh Sharif Khamis wa Kitanzania huku maelfu ya watu wakikombolewa kutoka mikononi mwa shwetani na kumrudia Mungu, Rais huyo alimpongeza kijana huyu.
Shekh Sharif Khamis akiwa kwenye msikiti Mkuu nchini Uganda kwenye eneo la  Aruwa.
                      
 Shekh Sharif Khamis akiwa kwenye muhadhara ulioandaliwa mahususi kwa ajairi ya kuwaokoa watu waliokuwa wamekata tamaa huku wengine wakisilim na kuurea uislam

Shekh Sharif Khamis ambae kwa sasa muonekano wake upo hivi, ambapo kijana huyu mwenye historia ndefu katika historia ya mashekh sharif wa tanzania baada ya kuanza kuongea akiwa na mwaka mmoja toka amezaliwa hadi leo
               



Na Mwandishi wa maskanibongotz -Uganda
Kijana mwenye historia ndefu ya mashekh Sharif wa Tanzania ameendelea kuonesha maajabu yake kupitia Mungu aliyemfungulia kuwa wa namna hiyo , kijana huyo ni Shekh Sharif Khamis ambae alianza kumtumikia Mungu toka akiwa na mwaka mmoja hadi leo.
Kijana huyo ambae tangu umri huo akiwa na mwaka mmoja alipoanza kuonesha maajabu yake hadi leo amekuwa akiuzunguka ulimwengu na kutenda mambo makuu ya Mungu kiasi cha kuwashangaza watu wengi na kushindwa kuamini kama kijana huyo ni kweli binadamu wa kawaida au  nini.

Shekh Sharif Khamis kwa sasa yupo nchini Uganda baada ya kutoka Sudani na juzi alikuwa aliendelea na mihadhara yake nchini humo kwenye eneo la Aruwa ambapo watu zaidi ya elfu zaidi ya elfu ishirini toka sehemu totafuti walibadilisha maisha yao kwa kuokolewa na matatizo yao huku vituo vingi vya televisheni vikionesha matukio hayo huku yakishuhudia pia na rais wa Uganda Mh Joel Kaguta Museveni
Hata hivyo Shekh Sharif Khamis aliuambia mtandao huu wa maskanibongotz kuwa amekuwa akielendelea na kazi ya hiyo ya kumtngaza mungu na mtume licha ya kukutana na changamoto nyingi, lakini pia kubwa zaidi ni juu ya kuwepo kwa mashekh sharif fake wenye nia ya kuharibu sifa za ushekh sharif hilo limekuwa likimuumiza sana .
Aidhs Shekh sharif Khamis amesema hivi karibuni atarejea Tanzania ili aendelee kuwasaidia Watanzania wenzake kwa kuwafanyia dua ili waondokane na matatizo hivyo siku zikikaribia atawatangazia watanzania kwamba amerejea nchini na lakini hata hivyo kwa wale wote wanaohitaji msaada sehemu yoyote duniani wanaweza kumpata kwa namba hii ya simu +255 717688 792 namba hiyo ipo imeunganishwa mahala popote inapatikana.



Thursday, January 7, 2016

WANANCHI KINONDONI WAMLILIA DC MAKONDA, WATUMA UJUMBE MZITO KIWA RAIS JOHN POMBE MGUFULI NA HII NDIYO TAARIFA YAKE INASIKITISHA SANA..!



 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh John Pombe Magufuli, wananchi wa Kinondoni wanamuomba asimuondoe Makonda kwenye Wilaya hiyo kwa vile bado wanahitaji msaada wake wa kutumbua majibu ya Ardhi kwenye Mansptaa ya Kinondoni.
DC Makonda akiwa kwenye majukumu yake



Hapa ni wananchi wa Nyakasangwe kata ya Wazo wakiwa na mabango ya kuwakataa maafisa Ardhi Kinondoni ambao wamekuwa tishio wa ufisadi wa ardhi kwa kushirikiana na matajiri wakubwa.

Na Mwandishi Wetu
Wilaya ya Kinondoni yenye wakazi wengi pengine kuliko Wilaya zote nchini Tanzania huku Wilaya hiyo ikiwa na changamoto rukuki za maendeleo, huku vijana wengi wakiwa hawana ajira, migogoro ya Ardhi nayo pia ikiwa tishio licha ya kwamba ni Wilaya ambayo ipo Jijini Dar mjini.
Kufuatia kuwepo kwa taarifa za ubadilishwaji wa wakuu wa Wilaya huku wengine ikidaiwa kupumnzishwa kabisa, hii inatokana  masimamo wa Mh Rais John Pombe Mgufuli kutaka kupata watendaji kazi wazuri na sio mizigo kama ilivyokuwa kwa Serikali iliyopita, hivyo wananchi hao wamemuomba Rais kwenye panga pangua hiyo awaachie Mh Paul Makonda kwani tayari ameshafanikiwa kuiweka sawa Wilaya ya Kinondoni.
Wakiongea na Maskanibongotv pamoja na mtandao wa kijamii wa maskanibongotz wananchi hao walisema “ Ndugu Mwandishi kweli tunamuomba Rais Wetu John Pombe Magufuli atuachie Mkuu wetu wa Wilaya Mheshiwa Makonda kiukweli tayari amekuwa tegemeo kwetu sisi wananchi wanyonge na hata vijana wetu wapo kwenye mipango mzuri ya ajira ambayo Makonda amekwishaipanga” Walisema watu hao.
Hata hivyo mmoja wa wananchi wa kata ya Wazo mtaa wa Nyakasangwe Manaiki Sanga ambae ni muhanga wa Mgogoro wa Ardhi alisema” Tuna imani na Mheshimwa Rais Magufuli ambae ni tofauti na viongozi waliopita tunaamini kwenye maamuzi yake atatumia busara kumuacha Makonda kwenye Wilayah ii kwa vile hadi sasa ameokoa maisha ya watu kwa kupambana na ufisadi wa ardhi  ambapo mwaka juzi ulipoteza maisha ya wananchi, lakini kwa sasa hali ya ulinzi na usalama umeimalika kutokana na hujudi zake” Alisema
DC MAKONDA ni mkuu wa Wilaya mtenda haki mtetezi wa wanyonge ambae matajiri wengi na mafisadi ndiyo adui zake kwa maana wanamchukia kwa msimamo wake kwenye kazi, pia wanasiasa wamekuwa na kinyongo nae kutokana na chuki zao binafsi, lakini kiukweli Makonda amekuwa mmoja wa wakuu wa wilaya wachache wanaofanyakazi zao bila uwoga na kujituma kiasi kwamba hata Wilaya nyingine zimekuwa zikimuhitaji ili akaweke mambo sawa.
Kwa kilio hichi cha wananchi tunaamini Mheshimiwa Rais wa John Pombe Magufuli atasikia na kumbakisha DC Makonda ili aendelee kuwatetea wanyonge na kupambana  na mafisadi.

Credit: Maskanibongotz
I

 


Thursday, December 31, 2015

MUNGU WA AJABU SANA: WAGONJWA MUHIMBILI WAACHA VITANDA VYAO NA KUKIMBILIA KWA MCHUNGAJI MZOLA MWENYE NGUVU ZA AJABU, WAGONJWA WA UKIMWI WAPONA NA KUSHINDWA KUAMINI KILICHOWATOKEA..!

Mmoja wa wagonjwa ambae ameacha kitanda na kwenda kwa Mchungaji Mzola wa Kanisa la Hosana Lililopo Nyakasangwa kata ya Wazo kwa ajiri ya kupata huduma ya uponyaji
                      


Wagonjwa mbalimbali wamekuwa wakimiminika kwa mchungaji Mzola kwa ajiri ya kuukimbia umauti na hatimae wanapona
Mama akitoa ushuhuda jinsi mtoto wake alivyopona baada ya kukumbwa na ugonjwa wa ajabu kiasi cha kupelekea mwanae moyo kusimama kufanya kazi huku macho yote akiwa ameyageuza.

Mgonjwa wa Ukimwi mpya ambapo magonjwa kama ya aina hii yamekuwa kitu kidogo kwa mchungaji Mzola wa Kanisa la Hosana lililopo Nyakasangwe.
Mchungaji Mzola wa Kanisa la Hosana Msigani maarufu kwa jina la  NGOMA YA YESU MSIGANI  
Na Mwandishi Wetu
Hakika Mungu hutumia watumishi wake kufanya maajabu, hivi ndivyo tunavyoweza kusema. Mchungaji wa Kanisa la Hosana Msigani, Mzola ameendelea kuushanga ulimwengu kutokana na nguvu ya ajabu aliyokuwa nayo ya kuponya watu wenye magonjwa sugu yakiwemo Ukimwi, Kansa nk.
Mchungaji huyo mwenye kanisa dogo tu lililopo Waza mtaa wa Nyakasangwe Msigani lakini amekuwa akifanya mambo ya kushangaza watu kutokana na nguvu ya upako aliyokuwa nayo.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wagonjwa wengi kwa sasa toka Hospitali mbalimbali wenye magonjwa yaliyoshindikana  wameamua kuacha vitanda baada ya kukata tamaa ya matatizo yao na kukimbilia kwa amchungaji huyo tena wakiwa kwenye pikipiki kwa msaada lakini wakanyagapo kwenye ardhi ya kanisa hilo tu, basi hupata uponyaji wa papo kwa hapo.

Hata hivyo mchungaji huyo amewaomba watanzania popote walipo Duniani wasisubiri kifo kiwakute kwa matatizo yanayowasumbua na hata kwa magonjwa sugu kama Ukimwi, Kansa, kichaa, nk wawabebe watu wao na kumlekea ili awape dozi ya Yesu Kristo kwani lisilowezekana kwa binadamu linawezekana kwa Mungu.
Mchugaji aliongeza kusema" Wabebeni wagonjwa wenu na kuwaleta hapa kwenye dozi isiyokuwa na gharama Mungu hashindwi jambo" Alisema na kutoa namba yake ya simu 0713-161785 kwa watu wasioweza kufika kanisani kwake atawapatoa dozi hiyo kwa njia ya simu.

Monday, December 28, 2015

KATA YA WAZO YAKUMBWA, MAMBO ANAYOYAFANYA MCHUNGAJI HUYU YATISHIA AMANI, MWENYEWE AONGEA HAYA......!

Mtumishi wa Mungu Mch: Mzola wa Kanisa la Hosana Msigani Linalotambulika kama Ngome ya Yesu akiwa kweenye ibada

 Baadhi ya waumini wakiwa Kanisani hapo kwa ajiri ya kupokea uponyaji wa ajabu


 Ushuhuda: Mama akitoa ushuhuda jinsi mwanae alivyopata uponyaji baada ya kuugua ghafra kiasi cha kupoteza fahamu


Na Mwandishi Wetu
Mchungaji wa Kanisa la Hosana Msigani Linalotambulika kama Ngome ya Yesu Mzola amewashanga wengi kutokana na nguvu za uponyaji anazozifanya pamoja na kuwasambaratisha wachawi.
Mtandao huu wa maskanibongotz ulifika kwenye Kanisa hilo kujionea namna ya ibada zake zinavyofanyika baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa nguvu za ajabu za mchungaji huyo sio za kawaida kutokana na uponyaji wake anaoufanya wa papo kwa hapo.
Akiongea na mtandao huu mchungaji huyo alisema" Mtumishi haya unayoyaona hapa ni nguvu za mungu wa kweli na sio maigizo kwani Mungu wa hapa sio wa masihara wala utani hivyo ukija mgonjwa dozi utakayoipata hapa  basi unakuwa mzima milele iliamradi usitende dhambi tena" Alisema Mchungaji huyo na kutoa namba yake ya simu kwa mtu yeyote anaehitaji maombezi kwa njia ya simu 0713-161785 na watu watapokea mujiza hapo walipo.