TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Sunday, January 10, 2016

SHEKH SHARIF KHAMIS WA TANZANIA AMTIKISA RAIS MUSEVENI WA UGANDA, MAAJABU ALIYOYAFANYA HUKO YAMSHANGAZA, WANANCHI WA UGANDA WASHINDWA KUAMINI KAMA KIJANA HUYO NI BINADAMU WA KAWAIDA AU NI KITU GANI TOKA KWA MUNGU, PICHA ZA TUKIO HIZI HAOA..!


Rais Yoel Kaguta Museveni wa Uganda ambae baada ya kusikia na kuona maajabu yaliyofanywa nakijana Shekh Sharif Khamis wa Kitanzania huku maelfu ya watu wakikombolewa kutoka mikononi mwa shwetani na kumrudia Mungu, Rais huyo alimpongeza kijana huyu.
Shekh Sharif Khamis akiwa kwenye msikiti Mkuu nchini Uganda kwenye eneo la  Aruwa.
                      
 Shekh Sharif Khamis akiwa kwenye muhadhara ulioandaliwa mahususi kwa ajairi ya kuwaokoa watu waliokuwa wamekata tamaa huku wengine wakisilim na kuurea uislam

Shekh Sharif Khamis ambae kwa sasa muonekano wake upo hivi, ambapo kijana huyu mwenye historia ndefu katika historia ya mashekh sharif wa tanzania baada ya kuanza kuongea akiwa na mwaka mmoja toka amezaliwa hadi leo
               



Na Mwandishi wa maskanibongotz -Uganda
Kijana mwenye historia ndefu ya mashekh Sharif wa Tanzania ameendelea kuonesha maajabu yake kupitia Mungu aliyemfungulia kuwa wa namna hiyo , kijana huyo ni Shekh Sharif Khamis ambae alianza kumtumikia Mungu toka akiwa na mwaka mmoja hadi leo.
Kijana huyo ambae tangu umri huo akiwa na mwaka mmoja alipoanza kuonesha maajabu yake hadi leo amekuwa akiuzunguka ulimwengu na kutenda mambo makuu ya Mungu kiasi cha kuwashangaza watu wengi na kushindwa kuamini kama kijana huyo ni kweli binadamu wa kawaida au  nini.

Shekh Sharif Khamis kwa sasa yupo nchini Uganda baada ya kutoka Sudani na juzi alikuwa aliendelea na mihadhara yake nchini humo kwenye eneo la Aruwa ambapo watu zaidi ya elfu zaidi ya elfu ishirini toka sehemu totafuti walibadilisha maisha yao kwa kuokolewa na matatizo yao huku vituo vingi vya televisheni vikionesha matukio hayo huku yakishuhudia pia na rais wa Uganda Mh Joel Kaguta Museveni
Hata hivyo Shekh Sharif Khamis aliuambia mtandao huu wa maskanibongotz kuwa amekuwa akielendelea na kazi ya hiyo ya kumtngaza mungu na mtume licha ya kukutana na changamoto nyingi, lakini pia kubwa zaidi ni juu ya kuwepo kwa mashekh sharif fake wenye nia ya kuharibu sifa za ushekh sharif hilo limekuwa likimuumiza sana .
Aidhs Shekh sharif Khamis amesema hivi karibuni atarejea Tanzania ili aendelee kuwasaidia Watanzania wenzake kwa kuwafanyia dua ili waondokane na matatizo hivyo siku zikikaribia atawatangazia watanzania kwamba amerejea nchini na lakini hata hivyo kwa wale wote wanaohitaji msaada sehemu yoyote duniani wanaweza kumpata kwa namba hii ya simu +255 717688 792 namba hiyo ipo imeunganishwa mahala popote inapatikana.



No comments:

Post a Comment