TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, December 31, 2015

MUNGU WA AJABU SANA: WAGONJWA MUHIMBILI WAACHA VITANDA VYAO NA KUKIMBILIA KWA MCHUNGAJI MZOLA MWENYE NGUVU ZA AJABU, WAGONJWA WA UKIMWI WAPONA NA KUSHINDWA KUAMINI KILICHOWATOKEA..!

Mmoja wa wagonjwa ambae ameacha kitanda na kwenda kwa Mchungaji Mzola wa Kanisa la Hosana Lililopo Nyakasangwa kata ya Wazo kwa ajiri ya kupata huduma ya uponyaji
                      


Wagonjwa mbalimbali wamekuwa wakimiminika kwa mchungaji Mzola kwa ajiri ya kuukimbia umauti na hatimae wanapona
Mama akitoa ushuhuda jinsi mtoto wake alivyopona baada ya kukumbwa na ugonjwa wa ajabu kiasi cha kupelekea mwanae moyo kusimama kufanya kazi huku macho yote akiwa ameyageuza.

Mgonjwa wa Ukimwi mpya ambapo magonjwa kama ya aina hii yamekuwa kitu kidogo kwa mchungaji Mzola wa Kanisa la Hosana lililopo Nyakasangwe.
Mchungaji Mzola wa Kanisa la Hosana Msigani maarufu kwa jina la  NGOMA YA YESU MSIGANI  
Na Mwandishi Wetu
Hakika Mungu hutumia watumishi wake kufanya maajabu, hivi ndivyo tunavyoweza kusema. Mchungaji wa Kanisa la Hosana Msigani, Mzola ameendelea kuushanga ulimwengu kutokana na nguvu ya ajabu aliyokuwa nayo ya kuponya watu wenye magonjwa sugu yakiwemo Ukimwi, Kansa nk.
Mchungaji huyo mwenye kanisa dogo tu lililopo Waza mtaa wa Nyakasangwe Msigani lakini amekuwa akifanya mambo ya kushangaza watu kutokana na nguvu ya upako aliyokuwa nayo.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wagonjwa wengi kwa sasa toka Hospitali mbalimbali wenye magonjwa yaliyoshindikana  wameamua kuacha vitanda baada ya kukata tamaa ya matatizo yao na kukimbilia kwa amchungaji huyo tena wakiwa kwenye pikipiki kwa msaada lakini wakanyagapo kwenye ardhi ya kanisa hilo tu, basi hupata uponyaji wa papo kwa hapo.

Hata hivyo mchungaji huyo amewaomba watanzania popote walipo Duniani wasisubiri kifo kiwakute kwa matatizo yanayowasumbua na hata kwa magonjwa sugu kama Ukimwi, Kansa, kichaa, nk wawabebe watu wao na kumlekea ili awape dozi ya Yesu Kristo kwani lisilowezekana kwa binadamu linawezekana kwa Mungu.
Mchugaji aliongeza kusema" Wabebeni wagonjwa wenu na kuwaleta hapa kwenye dozi isiyokuwa na gharama Mungu hashindwi jambo" Alisema na kutoa namba yake ya simu 0713-161785 kwa watu wasioweza kufika kanisani kwake atawapatoa dozi hiyo kwa njia ya simu.

No comments:

Post a Comment