TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, June 9, 2016

MGANGA WA MASTAA AITWA NCHINI MAREKANI, WAZUNGU WAPAGAWA NA DAWA ZA MITI SHAMBA ANAZOWAPATIA WA2. WASEMA TANZANIA YATAKIWA KUJIVUNIA KIPAWA ALICHOKUWA NACHO..!

 Dokta Kamdege maarufu kama Mganga wa mastaa akiwa kwenye ufisi yake Mkoani Tabora Wilaya ya Sikonge kijiji cha Lukanga
  Dokta Kamdege maarufu kama Mganga wa mastaa akiwa kwenye ufisi yake Mkoani Tabora Wilaya ya Sikonge kijiji cha Lukanga
 Dokta Kamdege maarufu kama Mganga wa mastaa akiwa kwenye ufisi yake Mkoani Tabora Wilaya ya Sikonge kijiji cha Lukanga. huku kwa juu kukionekana kama antena ambazo maalum kwa kunasa watu wenye hila mbaya.
 
Na Shabani Fugusa- Tabora
Mtaalamu wa miti shamba Tanzania anaetambuliwa na chama cha waganga wa tiba za asili Tanzania na mwenye leseni Dokta Kamdege hivi karibuni ataondoka nchini kuelekea nchini Marekani kwa ajiri ya kwasaidia watu wa huko kwenye maradhi mbalimbali yanayowasumbua.
Akiongea na maskanibongotz toka Tabora mganga huyo alisema kuwa baada ya kufanikiwa kuwaagua wazungu wengi kwa dawa zake za miti shamba hatimae amepewa mwariko wa kwenda nchini huko.
Aidha Dokta Kamdege ambae pia amekuwa akitumiwa sana na baadhi ya viongozi wa vyama na mastaa wa bongo movie kuweka sawa mambo yao kwa kutumia miti shamba tu hivi karibuni alitingisha jiji la Bunjumbura kwa kuwasaidia wagongwa walishindikana.
Dokta Kamdege amekuwa akitumia miti shamba kuwasaidia watu walikwishafanyiwa mambo ya kichawi katika maisha yao na kukosa mafanikio, kupandishwa vyeo, kujikinga na wachawi, kung'arisha biashara na kuwa na nyota ya ajabu kwenye mambo yote unayoyafanya katika maisha yako kiasi cha kuwashangaza watu wanaokuzunguka.
Aidha Dokta Kamdege amefanikiwa kuwasaidia hata waliokuwa hawapati watoto au kupata wachumba, kukosa mafanikio licha ya kufanya kazi sana lakini kipato hakionekani, hali hiyo imepelekea Mkoa wa Tabora kuwa na ongezeko la watu wanaofika kwake kupata tiba hizo na kusafishwa kupitia miti shamba tu na sio uchawi kama wanavyofanya waganga wa mjini.
Kamdege alisema kama yupo anaehitaji msaada kwenye mtatizo aliyoyaanisha hapo juu basi apige simu hizi 0763-146231, 0788-844490 na ataongea na yeye moja kwa moja na sio lazima usafiri kumfuta Tabora hapana huko huko aliko atakusaidia...!

No comments:

Post a Comment