TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, October 27, 2015

UTAJIRI WA DK FADHILI WAMFUNIKA VIBAYA DIAMOND, ANAMILIKI NYUMBA ZENYE THAMANI TA TSH BILI 3.5..!

   Billgate wa Tanzania Dokta Fadhil juu chini ni moja ya Jumba lake la kifahari ambalo limezusha minong'ono huku akidaiwa kumiki nyumba zaidi ya 10 kama hizo hapa mjini na Jijini Arusha.
Na Anna Mdemu
Kijana wa kitanzania aliyefahamika kwa jina la Dokta Fadhili “ Billget” wa Tanzania utajiri umekuwa tishio kiasi cha kuwafanya watanzania kupigwa butwaa na kushindwa kuamini kama ni yeye kijana mdogo anaweza kumiliki mali hizo.
Wakiongea na gazeti hili wakazi mbali mbali wa jiji la Dar es Salaam walisema “ Jamani huu huyu kijana vipi mbona utajiri wake ni wa kutisha kiasi hicho nyumba anazo Tanzania nzima na ukiangalia kila nyumba hapo haipungui zaidi ya milioni mia tatu na hamsini” Walisema watu wa karibu na Dokta huyo
Aidha  wananchi hao waliendelea kusema kuwa  ubilionea wa kijana huyo hakika hauingii hata robo ya ule wa mwanamuziki Diamond ambapo walifika mbali na kusema inawezekana hata akawa mfanyakazi wake wa ndani kwa fedha alizokuwa nazo.
Kijana huyo ambae ni dokta bingwa wa magonjwa yote amekuwa kivutia kwenye vyombo mbalimbali vya habari hasa kwenye mada zake za kuhufu afya na tayari hadi sasa kasha fanya mahojiano na vituo zaidi ya 50 vya tv na radio na wananchi kunufaika na ushauri wake wa kitabibu.
Gazeti hili lilimtafuta Dokta Fadhili kupitia simu yake ya kiganjani na alipatikana na kueleza  haya “ Mimi nashangaa jinsi watu wanavyopigwa na butwaa kwa mali zangu sielewei dhambi iko wapi mimi kuwa na vitu hivyo ambavyo navimiliki kihalali’ alijibu Dokta Fadhili ambae watu wengi wanahuisha utajiri wake na Freemansonry
Credit: maskanibongotz

KIUMBE ANAEDAIWA KUWA NI JINI AZUSHA BALAA KANISANI, WAUMINI WATAFUTA MLANGO WA KUTOKEA..!



 Hapa mara baada ya kuuliwa na wachungaji hao


 Hapa kiumbe huyo akiwa juu ya mti aina  mkorosho
  Wachungaji Inocent Gelvas kushoto, katikati na Mchungaji kiongozi wa Kanisa hilo Amos Mbena   na kiongozi wa kanisa hilo Musa Hassan Musa wakimshangaa kiumbe huyo wa ajabu.



Na Anna Mdemu
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua waumini wa Kanisa la Pentecostal Holness Mision Bonde la Ukombozi  lilipo Kimara Suka mtaa wa Gorani Jumapili ya tarehe 18 mwezi huu walitafuta pa kutokea ili kuokoa maisha yako baada ya kiumbe wa ajabu anaedhaniwa kuwa ni jini kuibuka wakati ibada inaendelea.
Mwandishi wa gazeti hili ambae alikuwa mmoja wa waumini waliohudhuria ibada hiyo alishuhudia timbwili hilo la aina yake  ambapo ibada kuu ya Kanisa hilo la wokovu huwa inaanza saa nne asubuhi na kumalizika saa saba mchana na siku hiyo ibada hiyo ilishindwa kumalizka kwa amani kutokana na ghazia hiyo.
Habari zaidi zilieleza kuwa Kanisa hilo  limekuwa kwenye vita kubwa na wachawi kutoakana na mchungaji kiongozi wa Kanisa hilo aliyefahamika kwa jina la Amos Mbena kuwaumbua vibaya kiasi cha kutishiwa kuuawa na mtandao huo wa wachawi.
Hata hivyo siku ya tukio ilikuwa saa sita na nusu muda mchache kabla ya ibada kumalizika ambapo kanusa hilo lililopo bondeni kidogo huku pembeni yake kukiwa na mti wa mkorosho ambapo chini ya mti huo kulikuwa na watoto wamelala wakisubiri wazazi wao wamalize ibada kasha warejee makwao.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wakati maombi yakiendelea ya kuwaombea watu wenye shida mbalimbali mchungaji kiongozi wa kanisa hilo kwa mbali kupitia macho ya roho mtakatifu alioneshwa kiumbe huyo wa ajabu mwenye macho kama ya binadamu, huku akiwa na mkono mmoja na mguu mmoja  akiwa juu ya mkorosho huo na haikufahamika kama alikuwa anavizia kuwanyonya dawa watoto ama laa.
Hata hivyo mchungaji huyo aliamua kusitisha ibada kwa muda ili kupambana na kiumbe huyo ambapo baada ya mtumishi huyo wa bwana kumnyooshea mkono  kiumbe huyo alianza kuruka ruka juu ya mtu pamoja na kutoa sauti ya ajabu hali iliyowafanya baadhi ya waumini kuanza kutimua mbio kwa kuhofia usalama wao na baadae sasa kila mtu alimuona live kiumbe huyo wa kutisha.
Baada ya kuonekana kiumbe huyo hatimae ibada iliishia pale pale ambapo jopo la watumishi wa mungu waka kanisa hilo  Inocent Gelvas, , Mchungaji  Musa Hassan Musa wakiongozwa na mchungaji Kiongozi Amos  pamoja na waumini walianza kufanya maombi ya  nguvu ili kurudisha amani kanisani hapo.
Na katika hali ya kushangaza  ghafra kiumbe huyo alipoteza huku wakimsaka bila mafanikio, lakini baada ya nusu saa ghafra kiumbe huyo alidondoka toka kwenye mti huo  huku akiwa hana nguvu ndipo wachungaji hao walipomuua kwa mawe kwa kuponda kichwani kasha kumteketeza kwa moto hadi kuwa majivu.
Baada ya tukio hilo mchungaji kiongozi wa kanisa hili Amos aliongea na mwandishi na kusema haya” Ndugu hii ni vita kubwa na bila nguvu za mungu tusingeweza kuendelea kuwepo mahara hapa huyu sijui nai kiumbe wa aina gani kwani binafsi sijawahi kumuona mahara popote  na sijajua kama ni jini au nini kwa vile binafsi simjui jini sasa huenda  akawa ni mwenyewe” Alisema mchungaji huyo.
Credit: maskanibongotz

Friday, October 23, 2015

SIRI YA WASANII WA KIKE BONGO MOVIE KUJIUZA ZAFICHUKA : VICTORIA LUOGA AWACHANA LIVE..!



 Victoria Luoga msanii anaechipukia kwenye kiwanda cha Bongo Movie
Victoria Luoga msanii anaechipukia kwenye kiwanda cha Bongo Movie


Na Anna Mdemu

Msanii chipukizi ambae pia ni mjasiriamali Victoria Luoga ametoa funzi kubwa kwa wasanii wenzake wanaokimbilia ustaa wakati hawana kitu hali inayopelekea mwisho wa siku wajiingize kwenye ukahaba.

Victoria ambae ametamba vilivyo kwenye filamu ya Kivuri change na yeye amecheza kama Staa alisema” Ni ukweli Dada wasanii wengi wa kike wanakimbilia kuwa mastaa wakati hawana kitu au hawafanyi kazi nyingine zaidi ya  sanaa hali inayowapa shida wakati wanapokuwa na majina tayari ili hali hawana kitu hali inayopelekea kujitoa muhanga kwenye umalaya ili amradi wapate pesa za kujikimu” Alisema Luoga

Msanii huyo ambae ameanza kujitegemea tangu akiwa mdogo kwa kutafuta hela ambapo hadi sasa tayari ana vitega uchumi vyake ambapo sasa sanaa anafanya kwa kwa vile ipo kwenye damu na si vinginevyo hivyo hata kama sanaa ikizungua poa tu alisema msichana huyo.


Victoria kwa  sasa anamiliki Grocery kadhaa hapa mjini, pamoja na nyumba za kulala wageni licha ya umri wake kuwa mdogo lakini amefanya mambo makubwa  na mwisho aliwashauri wasanii wenzake hasa wanawake  wajitahidi kuwa na kitu kingine cha kufanya tofauti na sanaa ili iwasaidie kujikimu badala ya kutegemea sanaa tu ambayo kwa haraka haraka hailipi.

Thursday, October 22, 2015

MCHUNGAJI MWENYE NGUVU ZA AJABU ZA KIMUNGU AIBUKA DAR, YUPO KIMARA SUKA MAENEO YA GORAN, WATU MAGONJWA SUKU WAPONA PAPO KWA HAPO, MGONWA UKIMWI APONA MADAKTARI WASHINDWA KUAMINI AWATAKA WATU WASITESEKE WAFIKE HARAKA KUPATA UPONYAJI..!

 Mchungaji Kiongozi wa Kanisa hilo Amosi Mbena akimtoa mapepo mabaya mmoja wa waumini waliofika Kanisani kwake maeneo ya Gorani Kimara Suka






  Waumini wakiwa kwenye maombezi maalum
  Ni hili kimuonekano ni dogo lakini linafanya mambo makubwa sana roho mtakatifu yupo mahara hapa kwani mamia ya watu wamekuwa wakipokea uponyaji wa haraka kuliko maelezo.


  Mchungaji Kiongozi wa Kanisa hilo Amosi Mbena akimtoa mapepo mabaya mmoja wa waumini waliofika Kanisani kwake maeneo ya Gorani Kimara Suka

 Mchungaji Kiongozi wa Kanisa hilo Amosi Mbena akimtoa mapepo mabaya mmoja wa waumini waliofika Kanisani kwake maeneo ya Gorani Kimara Suka

Na Mwandishi Wetu
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wakazi mbalimbali wa Jiji la Dar wenye shida mbalimbali na kusumbuliwa na magonjwa sugu wamekuwa wakimiminika kwenye Kanisa la PHM BONDE LA UKOMBOZI NA MAFANIKIO KIMARA GORANI maeneo ya Suka.
Wachungaji wa kanisa hilo wamekuwa na nguvu za ajabu za kimungu kwa kuwaombea watu wenye maradhi sugu na hata walioshindikana Hospital hata wakiwemo wale UKIMWI.
Akiongea na gazeti hili Mchungaji Kiongozi wa Kanisa hilo Amosi Mbena alisema" Jamani watanzania wenzangu acheni kuwaacha watu wenu wafe kwa maradhi ambayo hapa kwangu yanatibika yawe yametokana na neema ya Mungu au ibirisi utakapo mketa mgonjwa wako mahara hapa basi amekuwa mzima Mungu wetu wa mahara hapa ni Mungu wa kweli na roho wala hatuponyi watu kutumia mafuta" Alisema Mchungaji huyo
Aisha mchungaji huyo aliongeza kusema" Licha ya kwamba kwa sasa nina vita kubwa na wachawi katika eneo hili lakini kwenye vita hii mshindi ni mimi kwani aliyemo ndani ya nafasi yangu ndiye atakaepamba na watu wabaya" Alisema
Mchungaji huyo alisema kwa mtu yeyote anaehitaji maombi  mahara popote muda wowote basi anaweza kumpigia moja kwa moja kupitia simu yake ya kiganjani  0716-200065  Mchungaji Amosi Mbena na 0657-897211 ya mchungaji Innocent ambae ni msaidizi wake na kuongeza hata UKIMWI kwake unaponyeka kwani Mungu wake ni Mungu wa kweli.
NYOTE MNAKARIBISHWA 

ONYO: DOKTA FADHILI AWATIA HOFU WAKAZI JIJINI DAR , WATU WACHANYIKIWA, MAPROFESA CHUO KIKUKUU WACHANGANYIKIWA KUHUSU KIJANA HUYU!


 DOKTA FADHILI " Billgate wa Tanzania ambae amezusha  taharuki kwa watanzania kiasi cha kutia hofu
                       
  DOKTA FADHILI " Billgate akiwe kwenye msitu wa Ajabu nchini Marekani.

Na Mwndishi wetu

Jina la Dokta Fadhili au maarufu kama Billgate wa Tanzania sio geni masikioni mwa watanzania, Amezusha hofu kubwa kwa wakazi wa Jiji la Dar na vitongoji vyake.
Kwa maelezo zaidi fatilia taarifa zake kwenye gazeti la Kiu Jumatatu au Visa la Alhamis kujua nini  kinaendelea kuhusu yeye.

Sunday, October 18, 2015

MICHEZO: FAULO ZA "KIJINGA" ZAIKOSESHA AZAM POINT TATU KWA YANGA, MASHABIKI WACHUKIZWA WENGINE WAONDOKA KABLA YA MUDA KUMALIZIKA..!







Hata hivyo katika mchezo huo ambao ulianza kwa kila timu kushambulia lango la mpinzani wake lakini Azam walionekana kucheza faulo nyingi kwa wachezaji wa Yanga kiasi cha kuwaboa mashabiki kwa kushindwa kutulia na kucheza mpira mzuri. 
Aidha refa wa mchezo huo alijitahidi kuchezesha fea kwani awali alijaribu kutumia kuonya kwa mdomo kwa wachezaji wa Azam ambao tayari walikuwa wamepaniki, hata hivyo isingekuwa kucheza faulo za "Kijinga" na zisizokuwa za msingi Azam walikuwa na nafasi kubwa ya kushinda hasa kwenye kipindi cha dakika ya 84 na 89 kwani Wachezaji wa Yanga walipoteana kwenye dakika hizo mara baada ya mchezaji wa Azam Kipre Tchetche kurusha goli baada ya Yanga kuongoza kwa dakika zote.

Friday, October 16, 2015

WATANZANIA WATAMKUMBUKA KIKWETE KWA MAMBO HAYA 10. MASKANIBONGOTZ INAKUPA ISHU NZIMA..!

 Rais JAKAYA KIKWETE na Mkewe Mama Salma Kikwete wakimpa pole Mama Sepete baada ya kufiwa na mumewe.
  Rais JAKAYA KIKWETE akiwa na wageni wake kwenye moja ya Hafra alizokuwa anaziandaa Ikulu kwa ajiri ya kula pamoja na watoto wasiojiweza
  Rais JAKAYA KIKWETE na Mkewe hawakuacha kufika kwenye msiba wa kila kiongozi bila kujari dini yake.

  Rais JAKAYA KIKWETE na Mkewe walikuwa mstari wa mbele kuhamasisha watanzania kupima afya zao.
  Rais JAKAYA KIKWETE akilia kwa uchungu siku alipokuwa akiuaga mwili wa Marehemu Komba, pembeni yake ni Anne MAKINDA
  Rais JAKAYA KIKWETE na mkewe wakiwatia moyo familia hii


 Watoto wengi walimpenda Rais wao ambae  hivi karibuni ataiachia nchi kwa Rais Mpya wa TANZANIA.

Na Mwandishi wa Maskanibongotz
Rais Dokta Jakaya Mrisho Kikwete ambae mara baada ya wiki ijayo atakabidhi kwa Rais mpya wa Tanzania baada ya kumaliza majukumu yake ya kuingoza nchi hii mika kumi kwa mujibu wa taratibu za chama cha Mapinduzi kuwa kila baada ya miaka kumi lazima wabadilishe Rais mwingine.
Hata hivyo Rais Jakaya Mrisho Kikwete atakumbukwa kwa mengi mazuri ambapo watanzania wengi watamkumbuka kwa uchangamfu wake tabasamu lake licha ya kwamba alikuwa kiongozi wa Taifa lakini hakuwa mbali na wananchi wake kwa kupiga nao stori kujadiliana mambo mbalimbali.
Rais sasa anakwenda kuungana na team ya marais waliotangulia kama Mkapa, Mwinyi na atakuwa kama raia maarufu akama yeye mwenyewe anvyosema, licha ya kwamba anakiachia kiti cha urais lakini atakuwa anaonekana kwenye majukumu mengine ya kitaifa kama tunavyowaona marais wastaafu.
Hata hivyo kuna mambo kumi ambayo watanzania watamkumbuka Mh Jakaya Mrisho Kikwete akiwemo mkewe Mama Salma Kikwete.
 Alikuwa na upendo mkubwa kwa Watanzania wote bila kujari itikadi zao.
 Kila palipotokea matatizo ya msiba, ama majanga yoyote lazima auhudhurie akiambatana na mkewe. na mengineo mengi.  Tunamtakia mapunziko mema Rais JAKAYA MRISHO KIKWETE.

Tuesday, October 13, 2015

HII HATARI: MTOTO MCHANGA AONESHA MAAJABU KWA LOWASA, AFANYA MAMBO YA KUSHANGAZA ATAJA JINA LAKE MARA SABA KWA SIKU, WAZAZI WAKE WACHANGANYIKIWA WASEMA HUU NI MPANGO WA MUNGU. MASKANIBONGOTZ INAKUPA A-Z

 


MTOTO ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA GENIUS BOSS NGASA AMBAE NI MTOTO WA MWANDISHI WA HABARI NA MKURUGENZI WA KAMPUNI YA BOSS NGASA MEDIA INAYOMILIKI NA BLOG YA BOSS NGASA NA RADIO MPYA YA NGASA FM AMBAYO ITAZINDULIWA JANUARY MWAKANI AMEONSHA  MAAJABU MAKUBWA KWA KUTAJA JINA LA MGOMBEA URAIS WA UKAWA  EDWAD LOWASA TANGU AKIWA NA SIKU TATU TOKA AMEZALIWA.



Mwandishi wa Habari Boss Ngasa akiwa na mwanae Genius.

Na Mwandishi wa Maskanibongotz-Dodoma

Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mji wa Dodoma na vitongoji vyake vimekubwa na mshtuko kufuatia mtoto mdogo mwenye umri wa miezi minne kuongea na kutaja jina la Mgombea Urais kupitia Chama Cha Maendelea "CHADEMA" Bwa Edwad Lowasa hali iliyozusha mjadara mkubwa ndani ya familia hiyo na kuzusha taflani.

Habari za uhakika toka ndani ya familia ya Mwandishi huyo wa habari na mmiliki wa blog ya Bossngasa zilisema mtoto huyo alianza kuonesha maajabu hayo tangu akiwa na siku tatu toka amezaliwa " Ilikuwa usiku wakati familia hiyo ikiwa imelala na mtoto huyo ghafra walisikia sauti nyembamba ilikuwa ikitoka kwenye kinywa cha mtoto huyo iliyokuwa ikimtaja Lowasa Lowasa" Kilisema chanzo hicho

Hata hivyo baada ya kusikika kwa sauti hiyo wazazi wa mtoto huyo  waliogopa sana na hawakuamini kilichokuwa kinasikika toka kwa mtoto wao  lakini walimshkuru Mungu kwa utukufu huo licha ya kwamba hawakujua maana ya tukio hilo la kushangaza.

Aidha katika sauti hiyo pia kuna sauti nyingne ilikuwa ikisikika kwa mbali sana ambayo ilikuwa inasikika kwa shida kutokana na kuwa ndogo lakini kama ilikuwa inasema Rais Rais ukiacha hii ya Lowasa ambayo ilikuwa inasikika sana.

Baada ya mtandao huu wa maskanibongotz kupata habari hizo ulifanya mawasiliano na mwanahabari huyo maarufu Mkoani Dodoma ambae mwanae  huyo amezaa na mtoto wa kigogo "Jina linahifadhiwa" ambae pia dada huyo ni maarufu sana nchini, na alipatikana kupitia simu yake ya kiganjani na kueleza haya.

Na haya ndiyo majibu yake "Ndugu yangu hizo habari naweza kusema ni za kweli isipokuwa sikupenda ziwe ishu sanaaa, kutokana na mimi baba kubanwa na maadili yangu ya kazi ambayo yananizuia kuegemea chama kimoja ila ni kweli huyu mtoto katushangaza sana kutaja jina la Lowasa kuwa Rais" Alisema Boss Ngasa

Hata hivyo baba wa mtoto huyo aliongeza kusema kuwa yeye mwana habari ambae hana chama kila chama ni chake CHADEMA, CCM na vyama vingine vyote vina muhusu hivyo suala la mwanae anaomba lisichukue sura mpya na kumfanya aonekane yeye yupo CHADEMA hayo ni mtoto tu kama Mungu amemonesha hivyo kama Lowasa ni Rais basi ngoja tuone itakavyokuwa.

Credit; Maskanibongotz


Monday, October 12, 2015

WAKATI KAMPENI ZIKIENDELEA MKOANI TABORA DK KAMDEGE ACHAFUA HALI YA HEWA MAELFU YA WANANCHI WAFURIKA NYUMBANI KWAKE KUPATA TIBA ZA ASILI, ANGALIA TUKIO HILI..!

DK KAMDEGE AKIWA KAZINI NA ZANA ZAKE AMBAPO BAADA YA KUWA NJE YA NCHI KWA KIPINDI KIREFU SASA AMEREJEA NCHINI TANZANIA NA HALI IMEKUWA TETE MKOANI TABORA KUTOKANA NA WAGONJWA WENGI WA UKIMWI NA MARADHI YALIYOSHINDIKANA NA WALE WANAOTAKA BARAKA ZA MAFANIKIO KWA KUTENGENEZWA NA MITI SHAMBA.
MITI SHAMBA AMBAZO AMEKUWA AKITUMIA DOKTA KAMDEGE KUFANIKISHA WATU MAMBO YAO

 MITI SHAMBA AMBAZO AMEKUWA AKITUMIA DOKTA KAMDEGE KUFANIKISHA WATU MAMBO YAO
 MADAKTARI TOKA NCHINI JAPAN WAKITHIBITSHA KWENYE MITAMBO DAWA ZA MITI SHAMBA  ZA DR KAMDEGE ZINAZTIBU MARADHI MBALIMBALI IKIWEMO UKIMWI.
 MWANAMUZIKI DIAMOND AKIWA NA MAADAM WEMA NA MENEJA WAKE MARTIN KADINDA, AMBAPO MASTAA MBALIMBALI WAMEKUWA WAKIMTUMIA DR KAMDEGE KUWEKA SAWA MAMBO YAO
Na Mwandishi Wetu
Mganga maarufu nchini Tanzania aliyeiletea sifa kem kem nchi kutokana na kazi yake kutambulika Kimataifa Dk Kamdege ambae ni mwenyeji wa Mkoa wa Tabora amezusha balaa upya mkoani humo baada ya maelfu ya watu kumiminika nyumbani kwake kwa ajiri ya kupata tiba za asili.
Licha ya kampeni kuendelea huku zikiwa zimebaki wiki mbili ili taifa hili limpate Rais mpya watu wengi wenye shida wamekuwa wafika kwa mganga huyo kwa ajiri ya kuweka sawa mambo yao ili maisha yaende sawa.
Akiongea na mtandao huu Dk Kamdege kupitia simu namba 0763-146231 au 0788-44490 alisema " Ndugu yangu ujue nilikuwa kimya muda mrefu sikuwepo Tanzania nilikuwa nchini Kongo na Libya ambako nilienda kikazi hivyo toka nimerudi wiki iliyopita hali imekuwa mbaya kama unavyoelewa mimi nawasaidia sana ndugu zangu watanzania" Alisema
Aidha Mganga huyo aliongeza kusema kuwa anatibu magonjwa yote yaliyoshindikana kama vile Ukimwi, miguu na mikono kufa ganzi, waliokuwa hawana uwezo wa kupata mtoto, kukuza biashara kwa kuing'arisha kwa miti shamba na sio uchawi, Kupandishwa vyeo kwani wapo wasomi wengi wenye elimu kubwa lakini hawapandishwi vyeo hivyo yeye kazi yake kukupatia dawa za miti shamba tu sio tunguri au uchawi ukamloge mtu hapana miti shamba yenye bahati ya mfanikio anayo kwake hivyo mtu ukiwa mahara popote Tanzania au nje ya nchi basi wasiliana nae haraka kupitia simu zake hapo juu.