TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Sunday, November 1, 2015

MASTAA ZAIDI WAZIDI KUMPONGEZA PROFFESOR JAY KWA KUWA MH MBUNGE JIMBO LA MIKUMI, MANAIKI SANGA ASEMA MWANAMUZIKI HUYO AMELETEA HESHIMA KUBWA..!

 MH JOSEPH HAULE MBAE NI MBUNGE MTEULE WA JIMBO LA MIKUMI
 
STAA WA FILAMU YA WAKE UP MANAIKI SANGA

 MWANAMUZIKI DR JOSE CHAMELEONE TOKA UGANDA
Na Mwandishi Wetu
Mastaa mbalimbali nchini na nje ya nchi wameendelea kumtumua salamu za pongezi mwanamuziki mteule Mh Joseph Haule kwa kushinda Jimbo la Mikumi.
Wakiongea na mtandao huu wa maskanibongotz mastaa hao walisema kuwa mwanamuziki huyo ameongeza heshima kwa wasanii na kuonekana kuwa wasanii nao wanaweza kufanya mambo makubwa tofauti na inavyofikiriwa.
Msanii wa Tanzania Manaiki Sanga alisema" Kaka kiukweli binafsi nampongeza sana Jay kwani ameonesha kuwa wasanii tunaweza am so happy kwa kweli" Alisema Manaiki Sanga
 Nae msanii Jose Chameleone toka Uganda kupitia mtandao amepongeza Joseph kwa kushinda jimbo hilo.
Credit: maskanibongotz

No comments:

Post a Comment