TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, October 22, 2015

MCHUNGAJI MWENYE NGUVU ZA AJABU ZA KIMUNGU AIBUKA DAR, YUPO KIMARA SUKA MAENEO YA GORAN, WATU MAGONJWA SUKU WAPONA PAPO KWA HAPO, MGONWA UKIMWI APONA MADAKTARI WASHINDWA KUAMINI AWATAKA WATU WASITESEKE WAFIKE HARAKA KUPATA UPONYAJI..!

 Mchungaji Kiongozi wa Kanisa hilo Amosi Mbena akimtoa mapepo mabaya mmoja wa waumini waliofika Kanisani kwake maeneo ya Gorani Kimara Suka






  Waumini wakiwa kwenye maombezi maalum
  Ni hili kimuonekano ni dogo lakini linafanya mambo makubwa sana roho mtakatifu yupo mahara hapa kwani mamia ya watu wamekuwa wakipokea uponyaji wa haraka kuliko maelezo.


  Mchungaji Kiongozi wa Kanisa hilo Amosi Mbena akimtoa mapepo mabaya mmoja wa waumini waliofika Kanisani kwake maeneo ya Gorani Kimara Suka

 Mchungaji Kiongozi wa Kanisa hilo Amosi Mbena akimtoa mapepo mabaya mmoja wa waumini waliofika Kanisani kwake maeneo ya Gorani Kimara Suka

Na Mwandishi Wetu
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wakazi mbalimbali wa Jiji la Dar wenye shida mbalimbali na kusumbuliwa na magonjwa sugu wamekuwa wakimiminika kwenye Kanisa la PHM BONDE LA UKOMBOZI NA MAFANIKIO KIMARA GORANI maeneo ya Suka.
Wachungaji wa kanisa hilo wamekuwa na nguvu za ajabu za kimungu kwa kuwaombea watu wenye maradhi sugu na hata walioshindikana Hospital hata wakiwemo wale UKIMWI.
Akiongea na gazeti hili Mchungaji Kiongozi wa Kanisa hilo Amosi Mbena alisema" Jamani watanzania wenzangu acheni kuwaacha watu wenu wafe kwa maradhi ambayo hapa kwangu yanatibika yawe yametokana na neema ya Mungu au ibirisi utakapo mketa mgonjwa wako mahara hapa basi amekuwa mzima Mungu wetu wa mahara hapa ni Mungu wa kweli na roho wala hatuponyi watu kutumia mafuta" Alisema Mchungaji huyo
Aisha mchungaji huyo aliongeza kusema" Licha ya kwamba kwa sasa nina vita kubwa na wachawi katika eneo hili lakini kwenye vita hii mshindi ni mimi kwani aliyemo ndani ya nafasi yangu ndiye atakaepamba na watu wabaya" Alisema
Mchungaji huyo alisema kwa mtu yeyote anaehitaji maombi  mahara popote muda wowote basi anaweza kumpigia moja kwa moja kupitia simu yake ya kiganjani  0716-200065  Mchungaji Amosi Mbena na 0657-897211 ya mchungaji Innocent ambae ni msaidizi wake na kuongeza hata UKIMWI kwake unaponyeka kwani Mungu wake ni Mungu wa kweli.
NYOTE MNAKARIBISHWA 

No comments:

Post a Comment