TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, March 31, 2014

SIRI YA DIAMOND KUNG'ANG'ANIA KWENDA NIGERIA YAFICHUKA MTUME JOSHUA KUMBADILI DINI, ANGALIA HAPA UPATE UKWELI WA MAMBOA..!


Diamond akiwa na Bab Tale tayari kwa safari yao.
 
Wema Sepetu hakukosa kumsindikiza kipenzi chake uwanja wa ndege.
 Usiku wa kuamkia leo Platnumz amepost picha Instagram akiwa ameongozana na meneja wake Bab Tale wa Tip Top Connection, wakiwa uwanja wa ndege JNIA tayari kwa safari 

Mganga wa mastaa nchini Dk Kamdege
Nabii Joshua

Na Mwandishi Wetu kwa msaada wa MtandO
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushua taarifa mpya zimezuka kuwa kumbe mafanio anayoyapata kwa sasa inadaiwa kuna mkono wa nguvu za giza zinazodaiwa kutolewa na mtume mwenye miujiza mingi ambae watu humuhusisha na Freemansonry
Habari zilizoifikia Xdeejayz toka kwenye mtandao mmoja nchini humo unaema kuwa mastaa kibao wenye mafanikio kwenye nchi za Afrika na dunia baadhi ni lazima wafike nchini Nigeria kwa Nabii huyo ambae ni gumzo dunia nzima.
Hata hivyo habari hizo zilisema kuwa kuna uwezekano asilimia mia kuwa Diamond ameshapewa baraka na Nabii huyo ndiyo maana amekuwa safari za kwenda nchini humo haziishi hivvyo siku zi nyingi huenda akajikuta anaangukia kwenye dini hiyo ambayo.
Hata hivyo Xdeejayz ilifanya jitihada za kumtafuta Diamond kupitia mtandao kwa vile hayupo nchini lakini juhudi hizo ziligonga mwamba baada ya kutopatikana.
CREDIT:XDEEJAYZA TANZANIA

No comments:

Post a Comment