TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, March 31, 2014

MWANAMUZIKI CHIPUKIZI WA INJILI APIGA PICHA ZA AIBU KWA AJILI YA KUTAFUTA RIDHIKI....INASIKITISHA SANA ANGALIA MWENYEWE KWA MACHO YAKO..!

 KUMRADHI KWA PICHA HII:Natasha akipiga picha za aibu makusudi ili kumtumia mwanaume yeyote atakaevutiwa nae ili amnunua.
  
Hapa Natasha akiwa na nguo za heshima kwenye jamii
KUMRADHI KWA PICHA HII: Hapana Natasha akifanya upuuzi kwa kujipiga picha bila kuogopoa tena kwa hiari yake.
 Hapa inadaiwa ni Guest kwa mujibu wa maelezo yake kwenye mtandao.

Na Sakina Shabani
Tangu Blog ya Xdeejayz iwe mstari wa mbela kupiga vita tabia mbaya kwa wasichana mbalimbali kuacha kupiga picha za aibu kwenye jamii na kutoa picha kadhaa kwenye mtandao hadi kupelekea wasichana wengi kupunguza kama si kuacha kabisa lakini hali imeanza kurudi upya ambapo msichana mmoja ambae inadaiwa ni mwanamuziki wa nyimbo za injili kufyatua picha za aibu na kuziachia kwenye mitandao kwa lengo la kutafuta wanaume.
Kwa mujibu wa chanzo chetu ambacho ni msichana ambae yuko karibu na Natasha anaeishi maeneo ya KAWE jijini Dar alisema kuwa picha hizo zimesambaa mitandao na mtu aliyezisambaza ni yeye mwenyewe ambapo ziko nyingine mbaya zaidi ambazo msichana huyo anaonekana kujipapasa sehemu zake nyeti kwa lengo la kuwatia mshawasha wanaume dhaifu.
Xdeejayz ilifanyajitahada za kumtafuta msichana huyo kupitia simu yake ya kiganjani lakini hakuweza kupatikana hivyo tunawaahidi wiki hii kabla haijaisha tutawaletea full stori kuhusu dada huyo na kutaja mahala anapofanyia kazi kwa lengo la kuwatahadharisha watu juu ya afya yake kwani kuna taarifa kuwa sio mzima hivyo anafanya hayo upuuzi huo ili kuwamaliza wa binadamu wenzake makusudi.
TAARIFA: XDEEJAYZ inaendelea kutoa uwito kwa wasichana waliokosa maadili kuacha kujipiga picha hizo za aibu kisha kuzisambaza kwani ni kosa kisheria na tunaendelea kulani vikali kwa wale wote wanaofanya hivyo jambo hili halikubaliki hata kidogo.
CREDIT:XDEEJAYZ TANZANIA

No comments:

Post a Comment