TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, November 27, 2013

WAKATI SERIKALI IKITANGAZA... MTOTO WA KING KIKI AENDELEA KUACHIA PICHA ZAKE ZA UTUPU MITANDAONI, RAIS MISS UTALII AMWAGA CHOZI!

 Prodyza Man Walter akikabidhiwa tuzo na Mwanamuziki mkongwe nchini King Kiki Kikumbi ambae ni baba mzazi na Jeska Kikumbi ambae amepiga picha utupu na kuzimwaga mitandao kwa hiali yake mwenyewe.
  Jeska Kikumbi akiwa kwenye pozi



 Rais wa Miss Utalii nchini Mh Gidion Chipungahelo
 Hapa Jeska akiwa kwenye moja ya kumbi za burudani usiku kama anvyoonekana.
 Na Mwandishi Wetu
Wakati Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wa Ulinzi Emmanuel Nchimbi ikitangaza kuwachukulia hatua wale wote watakao wapiga picha wapenzi wao na kuzisambaza mitandaoni, hali imeendelea kuwa mbaya kwa wsasichana wengi kujipiga wenyewe kisha kuzisambaza mitandaoni kwa lengo la kujiuza.
Moja ya ya tukio la kusikitisha na bint wa mwanamuziki nyota nchini King Kiki aliyefahamika kwa jina la Jeska Kikumbi ambae amejipiga picha za aibu mwenyewe na kuzisambaza kwenye mitandao yote huku tukio hilo likiipotiwa hata kwenye magazeti pendwa.
Habari zaidi zaidi zilisema kuwa Jeska ambae ni mke wa mtu kabisa lakini aliamua kuchukua hatua hizo za kujipiga picha hizo chafu ili kumkomoa mmewe ambae inadaiwa ni mtu mzima kidogo.
Aidha katika hatua Rais wa Miss Utalii Tanzania Gedion Chipungahelo ameoneshwa kusikitishwa na tabia za washiriki wake hao wa Miss Utalii ya kupiga picha utupu huku wakiitia najisi fisa ya Miss Utalii.
"GAZETI LA MASKANI BONGO SASA KUWA MTAANI DESEMBA HII"


No comments:

Post a Comment