TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Saturday, November 30, 2013

BLOG YA XDEEJAYZ KUFUNGIWA MAISHA, YAKABIRIWA NA KESI MBAYA SANA, BONGO MOVIE WAFURAHIA KWA ADHABU HIYO!




Suzi na Fathiya wakipena maravidavi

   Suzi  Magoti na Fathiya Alfan kwenye DVD ya kusagana ambayo imepelekea kuzusha balaa hili.




Suzi akijidhalilisha  mwenyewe kwa kujipima OIL sehemu nyeti kwa kujipandisha mzuka kabla ya kusagana!!!

   Msanii wa bongo Movie Suzi Magoti


   Mwanasheri wa familia ya Fathiya na Suzi aliyejitambulisha kwa jina la  Advocate Alphonse Kishato
  Mwanasheri wa Blog hii Hawamu Juma


  Mwanasheri wa Alphonse Kishato wa pili kulia akiwa na wanasheria wenzake.


Na Sakina Sahabani

Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua blog hii pendwa nchini Tanzania Afrika na Duniani imetishiwa kufungiwa kwa kutofanya shughuri zake za uandikaji habari endapo itaendelea kuripoti taarifa za usagaji zinazo wakabiri  mshiriki Miss Utalii 2013 Fathiya Alfani pamoja na msanii chipikizi kwenye Bongo Movie Suzi Magoti.

Habari zilizopatikana jana Ijumaa mapema toka mtu aliyejitambulisha kuwa ni mwanasheria wa familia ya Suzi Magoti pamoja na Fathiya Alfani aliyeitwa  Advocate Alphonse Kishato.

Akiongea na mwandishi wetu mwanasheria wa Blog hii aliyefahamika kwa jina la Mh Hawamu Juma alisema kuwa amepokea taarifa hizo toka kwa Advacate Alphonse ikiitaka blog hii ambayo kwa sasa ni blog inayoongoza kutembelewa na watu zaidi ya elfu tano kwa siku kuacha mara moja kuendelea kuandika taarifa za wasichana hao juu ya DVD yao ya usagaji na kuamuru kuipotezea kabisa ishu hiyo kwa madai kuwa inaweza kusababisha wasichana hao wakapoteza maisha kwa kutishia kunywa sumu.

Habari zaidi zilisema katika taarifa hiyo ya mwanasheria huyo aliiendelea kusema kuwa tangu taarifa za tukio la hilo la usagaji kuvuja masichana hao wamekuwa kwenye hali  mbaya kiasi cha kushindwa kutoka nje kwa aibu kubwa.

Hata hivyo taarifa hiyo ilipigwa vikali na mwanasheria wa blogi hii Hawamu Juma ambayo imesajiliwa na kupewa baraka zote toka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania “TCRA” hivyo kwa vile blog hii ni chombo cha habari kama ilivyo tv, redio, gazeti na wala haihusiki na kupiga picha watu au mtu bali kazi kubwa ya blog hii ni kuripoti matukio ya kila aina kwa mujibu wa sheria ya vyombo vya habari ambayo ni kutaarifu, kufundisha, kuburudisha na kukosoa.
  Baada taarifa hiyo ambayo pia ilishasambaa kwenye mitandao mingi ya kijamii wasanii wengi ambao habari zao zilisharipotiwa kwenye mtandao huu wameonesha kufurahishwa sana huku wakitamani XDEEJAYZ isipatikane tena ili waendelee kuwa huru.
"GAZETI LA MASKANI BONGO SASA MTAANI DESEMBA 11 LIKIWA LIMESHENI KILA AINA YA HABARI, BURUDANI NK"

No comments:

Post a Comment