TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, October 10, 2013

MSANII WA COMEDI ANAYEONGOZA KWAKUWEKA PICHA ZA UTUPU MTANDAONI

Mwanadada anaejulikana kwa jina la EFReUNCINA Anaejishuhurisha na shuhuri za kuchekesha kwenye INYE NDEMWENDENBWE amekuwa mtu wakutupia picha za hasara hasara kwenye mtandao wa facecook kwa muda mrefu sana. bila yakuangalia maumbe yake yalivyo. akiongea na blog hii ya burudani mmoja wa marafiki wa dada huyo amesema niliandika coment kwenye picha hii lakini alifuta dada huyu niliandika tangu uanze kuweka picha fb umepata mabwana wangapi mana kila siku unaweka na hakuna jipya. hakujibu na matokeo yake alifuta coment hiyo.

No comments:

Post a Comment