TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Saturday, December 15, 2012

WAKATI WAKO TOUR NI ZAIDI YA BURUDANI:JOE MAKINI

 Mwanamuziki Joe Makini
                                                Joe Makini
Na Mwandishi Wetu
Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa tamasha ambalo kwa siku chache tu limfenikiwa kujizolea umaarufu mkubwa  kiasi cha kutia "presure" matamasha mengi yaliyokuwepo siku nyingi si  "Ni Wakati wako Tour" limekuwa gumzo kila kona ya nchi huku mikoa mbalimbali ikiomba tamasha hilo kuwafikia kwa udi na uvumba.

Pamoja na kupiga shoo kazaa katika miji ya Dodoma na Dar es Salaam kuna wasanii kutokana na majukumu mengi hawakuweza kupiga mzigo hata siku moja mwanamuziki Joe Makini ni mmoja wa wasanii ambao hawakuwahi kufanya shoo ya Ni Wakati wako Tour lakini sasa ni zamu yake siku ya kesho kwenye ukumbi unaoongoza kusambaza virusi vya burudani Bongo wa Dar Live.

Joe amepania kufunika vilivyo kutokana na mara ya kwanza kufanya shoo kwenye tamasha hilo ambapo akiongea na Xdeejayz Joe alisema" Kaka namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi hii adimu najuwa wako wasanii wengi wanatamani kufanya shoo kwenye Wakati wako Tour  ni tamasha lenye zaidi ya burudani"  Alisema mwanamuziki huyo anaetokea Arusha

No comments:

Post a Comment