TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, December 14, 2012

SAM WA UKWELI ADAIWA KUSHINDWA MAISHA,ARUDI KUISHI KWA WAKWEZE!

Mwanamuziki Samu wa Ukweli 
akiwa kwenye picha ya pozi.
Na Mwandishi Wetu
Kuna taarifa kuwa msanii aliyewahi kutamba sana kwenye muziki wa kizazi kipya nchini Samu wa Ukweli ameshindwa kuishi maisha ya kupanga hadi kwenda kuishi kwa wakwe zake maeneo ya Kiwalani Jijini Dar.

Habari za uhakika toka kwa mtu wa karibu na mwanamuziki huyo aliwika sana nyimbo zake kali kama Sina Raha na Hata Kwetu Wapo miezi ya hivi karibuni ametimuliwa na kwenye nyumba aliyokuwa anaishi maeneo ya Hananasifu kwa kile kilichodaiwa kushindwa kulipa kodi ya pango.

Hata hivyo baada ya Xdeejayz kupata umbea huo ilinyanyua mkonga wa simu yake na kumcheki hewani ili kuthibitha tuhuma hizo ambapo simu ya Samu iliita muda mrefu  bila hata ya  kupokelewa.

No comments:

Post a Comment