TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, December 14, 2012

AFYA YA MZEE MAJUTO YAIMARIKA!

MSANII KING MAJUTO
Na Livingstone Mkoi
Afya ya Mzee Majuto aliyekuwa anaumwa sasa imerejea kwenye hali ya kawaida kufuatia kuanza kupata matibabu ya uhakika baada ya kuletwa Dar akitokea Tanga alikokuwa anajiuguza.

Habari za uhakika zilizofika mezani kwa Xdeejayz zinasema kuwa Mzee Majuto alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kuvimba miguu na shingo lakini hadi sasa hali yake inatia moyo kwani ameanza kufanyua majukumu yake mepesi mepesi tofauti na awali ambapo alikuwa anashindwa hata kutembea.

Kwa mujibu wa mtoto wake mzee Majuto alisema waliamua kumleta Dar baba yao ili kupata matibabu yenye uhakika zaidi.

No comments:

Post a Comment