TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, December 13, 2012

NJEMBA LAOLEWA HARUSI YA KIFAHARI NA MUME WA MTU!

Mwanaume aliyefahamika kwa jina moja la Brick akiwa mwenye furaha baada ya kufunga ndoa ya kifahari na bwanaake ambae anadaiwa ni mume wa mtu.
Na Mwandishi Wetu
2012 unaisha na vituko vya kukumbukwa kufuatia matukio ya kihistoria kuandikwa.
Mwanaume mmoja nchini India katika mji wa Ujjain Ancient aliyefahamika kwa jina la Brick ameolewa ndoa ya kifahari na mume wa mtu.

Habari za uhakika toka kwenye mtandao mmoja nchini humo unaosifika zaidi kuandika habari za uchunguzi ulisema kuwaa Brick mwenye umbo lililojengeka vizuri amekuwa akijihusishwa na vitendo vya ngono ya jinsia mojaa na mumu huyo wa mtu hadi kupelekea kuoana kabisa.
Habari zaidi ziliendelea kusema kuwa ndoa hiyo liyofungwa nje ya mji anaoishi kijana huyo na ilifana sana kutokana na sherehe kubwa na ya gharama kufanyika ambapo watu walikula na kusaza huku dume hilo lililoolewa likiwa lenye furaha tele huku likiahidi kuwa sikivu na kumpa mapenzi moto moto mumewe huyo ambae kwa mujibu wa mtandao amemzidi miaka mitani Brick.

No comments:

Post a Comment