TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, December 13, 2012

RICK ROSSE WA BONGO ANUSURIKA KIFO KWA AJALI MBAYA,AVUNJIKA MBAVU MBILI!

 David Shahid Rick Rosse wa Bongo.

  Rick Rosse wa Bongo.
Na Livingstone Mkoi
Kijana wa kitanzania David Shahid ambae miezi ya hivi karibuni alitokea kujizolea umaarufu kutokana na kufanana sana sura na mwanamuziki toka Marekani Rick Rosse hivi karibuni amenusurika kupoteza maisha baada ya kupata ajali mbaya ya gari alipokuwa kazini.

Rick Rosse amesema kuwa alipata ajali hiyo alipokuwa kwenye mizunguko yake kazini maeneo ya Kurasini Jijini Dar ambapo hadi sasa ni wiki ya tatu yupo hoi kitandani kwani amevunjika mbavu mbili na kujeruhiwa vibaya mgongoni.

No comments:

Post a Comment