TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, May 28, 2014

DUH LULU MICHAEL KIBOKO KWA SIKU ANAPIGA PICHA HAMSINI NA NGUO TOFAUTI HII HAIJAWAHI TOKEA KWA MSANII YEYOTE TANZANIA. XDEEJAYZ LIVE BILA KIG'AMUZI..!


Huyu si mwingine bali ni mdogo wetu aliekulia kwenye TV (kwasisi wa miaka ya 80 )...yaaani ana  TV personality toka LONG , kwa hapa Bongo ni staa wetu tumependwa na wengi (pamoja na mimi toka kitambo) anaitwa Elizabeth Michel  a k a Lulu...Ameibuka na kusema kila siku iendayo kwa Mungu anapiga picha zaidi ya 50 na nguo tofauti  hali iliyofanya avunje rekodi na kuwa msanii wa kwanza kufanya hivyo Tanzania ameieleza Xdeejayz Tanzania.
CHANZO: XDEEJAYZ TANZANIA

MAAJABU YA DUNIA, ALIYETAKA KUMBATIZA MWANAE JINA LA YESU APINGWA DUANIA NZIMA ANGALIA TUKIO HILI LA KUSHTUA..!


Ndiritu Njoka kwenye headlines tena wakati huu sio kukabiliana na Wanawake wanaowapiga Waume zao bali wakati huu jamaa anataka kanisa na Presibiteria ya Africa Mashariki-PCEA kumbatiza mwanae wa kiume aliempa jina la Jesus ama Yesu.
Njoka amesema ameamua kumpa mwanae jina hilo kwasababu jina Yesu ni jina zuri sana >>’Sijamuita mwanangu kristo, nimemuita Yesu kwasababu ni jina nzuri sana’
Njoka pia amedai kwamba kanisa na hata hospitali aliyozaliwa mwanae wamekataa kumuandikia cheti cha taarifa ya kuzaliwa kwasababu hawataki kuandika Jina Yesu kwenye cheti hicho.
Njoka alipoulizwa kuhusu hilo amesema >>’hata kama hospitali walikataa kuandika hilo jina Yesu, nitatumia mkono wangu kuandika hiyo taarifa ya kuzaliwa Yesu Njoka kwasababu huyo ni mwanangu’.
Rais huyo wa Wanaume ambae amekua akihusika na chama cha kutetea haki za Wanaume duniani ameongeza kuwa ameacha kwenda kanisani kwa sababu ya kukataa kumbatiza mwanae Yesu >’nimewaambia sawa basi hata hayo mambo ya kanisa nitaacha na nitakua nikiomba nyumbani kwasababu kama shida ni kumwita mwanangu yesu si lazima niende kanisani’
Screen Shot 2014-05-28 at 2.25.36 PMNae katibu mkuu wa kanisa hilo la PCEA Kasisi Thegu Mutahi anasema jina la Yesu hawezi kupewa mtu maana Yesu ni mwana wa mungu >>> ’ukimuita mtoto yesu unamwona hapo barabarani akicheza na wenzake anaitwa Yesu !, Yesu !, Yesu ! hilo jina na tunajua yesu ni mwokozi litachukuliwa vipi?’.
Aidha Njoka amesema amekerwa na hatua ya kanisa kukataa majina mazuri wakati wananyamazia watu wanaojiita Mwashetani na wengine Mwakaburi ambapo kwa sasa Njoka amesema amemuandikia barua Papa wa kanisa Katoliki kama njia ya kutafuta kibali kumuita mwanae Yesu Njoka Njoka.

JESHI LA POLISI LATANGAZA KIAMA KWA WATOTO WA MBWA, MSAKO WA MTAA HADI MTAA UMEANZA JANA MAENEO YA YOTE YA JIJI LA DAR..!


Hawa ndio viongozi wa panya road na mbwa mwitu ambao tayari wameshakamatwa
 Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanya msako wa nyumba kwa nyumba, mtaa na maeneo yaliyoathirika kwa hofu ya vijana ambao ni vibaka maarufu kama Mbwa mwitu au Panya Road.  Msako huu uliofanyika ndani ya masaa 24 hadi alfajiri ya tarehe 26/5/2014 kwa lengo la kuwaondolea hofu na uhalifu dhidi ya makundi ya vijana wadogo wasio na ajira ambao uliibuka hivi karibuni.
 Maeneo yaliyoathirika ni Kigogo, Magomeni, Tabata, maeneo yote yanayozunguka mto Msimbazi, maeneo ya Mbagala nk.  Msako huu unaendelea kufanywa na askari wa vikosi maalum ambao wamepewa kazi ya kuhakikisha kuwa vikundi hivyo haviibuki tena na vinatokomezwaa kabisa kwa kuwakamata wale wote wanaojihusisha na vitendo vya kuvamia kwa mkundi wananchi ambao hawana hatia
Kamishna kova ambaye amezungumza na wanahabari muda mfupi uliopita

KIFO CHA RECHO, STEVE NYERERE ALIA HADI KUPOTEZA FAHAMU ANGALIA TUKIO HILO HAPA XDEEJAYZ TANZANIA




Monday, May 26, 2014

KUMEKUCHA IJUMAA HII NI BALAA TUPU NDANI YA CLUB MAISHA DAR NI USIKU WA TATOO KAMA WEWE UNATATOO ZA AJABU FIKE UJICHUKULIE ZAWADI BAB KUBWA ANGALIA HAPA..!


HATARI KUBWA, WAZARAMO NA WATANGA KUTOANA ROHO JUMATANO HII NDANI YA CLUB MAISHA DAR NI KWENYE USIKU WA BUNYEROBUNYERO NI BALAA TUPU HAIJAWAHI TOKEA..!


TIZAMA TUKIO LIVE LA WIZ KHALIFA ALIPONASWA NA MISOKOTO YA BANGI 200 AIRPORT PALIKUWA HAPATOSHI.. XDEEJAYZ LIVE..!

s
Screen Shot 2014-05-26 at 2.13.17 AMStaa wa hiphop kutoka Marekani Wiz Khalifa (26) Jumapili ya May 25 2014 amedakwa na polisi katika uwanja wa ndege huko Texas Marekani baada ya kukutwa na kitu kinachodaiwa kuwa ni dawa za kulevya aina ya bangi kwenye mizigo yake zipatazo 200.
Alikuwa akisafiri kutoka El Paso kwenda Dallas wakati maafisa wa uwanja wa ndege walipokuta mzigo huo ndani ya begi lake ambapo kwa mujibu wa sheria aliwekwa kizuizini na baadae kufikishwa kituo cha polisi kabla ya kuachiwa huru saa kadhaa baadae kwa mujibu wa TMZ.
Screen Shot 2014-05-26 at 2.04.49 AMPamoja na hayo, yeye mwenyewe Wiz hakuonyesha kujali ambapo baadae alitweet picha yake akiwa chini ya ulinzi na kuonyesha hiyo ishu haijamsumbua akili kabisa.
Alipokua chini ya huo ulinzi kwa saa kadhaa Khalifa alitweet na kuonyesha picha zake akisisitiza pia kuachiwa huru.
Screen Shot 2014-05-26 at 2.13.55 AMScreen Shot 2014-05-26 at 2.14.06 AMHiyo ndege binafsi ya kusafiria kwenye picha ya kwanza hapo juu  ndio inaaminika aliitumia kusafiri muda mfupi baada ya kuachiwa huru na kupiga picha akiwa pembeni yake kuthibitisha kwamba aliachiwa huru.
Alipoulizwa na shabiki wake kama alipata mateso yoyote alipokua chini ya huo ulinzi, Khalifa alijibu kwamba kila kitu kilikua poa, yani alikaa vizuri tu bila matatizo.
Staa huyu aliefanya mpaka bongo imfahamu kwa sana kupitia single yake ya ‘Black and Yellow’ hii ni mara yake nyingine kukamatwa na bangi ambapo kisa kingine kilitokea November mwaka 2010.