TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, March 23, 2016

DOKTA KAMDEGE AFANYA BALAA NCHINI KENYA, BURUNDI,WABUNGE, MAWAZIRI WA SERIKALI WAPIGANA VIKUMBO KUPATA MITI SHAMBA, SASA AREJEA TANZANIA NA KUTOA UWITO MZITO..!

 Dokta Kamdege maarufu kama mganga wa mastaa hapa akiwa kwenye ofisi yake kama anavyoonekana miti shamba ikiwa imetapakaa..!
  Dokta Kamdege maarufu kama mganga wa mastaa hapa akiwa kwenye ofisi yake kama anavyoonekana miti shamba ikiwa imetapakaa..!
 Dokta Kamdege maarufu kama mganga wa mastaa hapa akiwa kwenye ofisi yake kama anavyoonekana miti shamba ikiwa imetapakaa..!
Na Mwandishi Wetu
Yule mganga maarufu nchini Tanzania mwenye kutambuliwa na chama cha waganga wa tiba za asili Tanzania Dokta Kamdege hatimae amelejea nchini Tanzania baada ya ziara ndefu nchi za nje.
Akiongea na gazeti hili Dokta Kamdege amesema kwa kipindi chote hicho alikuwa nchini Kenya na Burundi kwa ajiri ya kuwasaidia watu walikumbwa na matatizo ya nguvu za gizo ambapo ziara yake ilikuwa na mafanikio sana kwani hadi viongozi wakubwa wa Serikali walifika kumuona kwa ajiri ya kupata msaada.
Dokta huyo aliongeza kusema " Ndugu mwandishi ujue dunia imetawaliwa na nguvu za giza hivyo watu wengi wamefungwa kwenye maendeleo watu wamesoma, wanafanya kazi lakini maendeleo hamna wajanja wanakuwa wamewazunguka kwa nguvu za giza" Alisema Dokta Kamdege
Mganga huyo aliongeza kusema  matatizo hayo ya wananchi kuzibiwa ridhiki zao, kupewa mikosi, kushindwa kupandishwa vyeo licha ya elimu walizokuwa nazo na mara nyingi matatizo hayo yote yanamalizwa na dawa za miti samba kwa kusafishwa  na kupewa zindiko maalum litakalokusaidia maishani mwako kwenye majukumu ya kutafuta ridhiki.
Kamdege kwa sasa amesharejea mkoani kwake Wilaya ya Sikonge Kijiji cha Ukanga Mkoani Tabora na atakuwa hapa Tanzania kwa miezi mitatu hadi mwezi wa sita hivyo kwa mtanzania yeyote mwenye dalili za kuzibiwa ridhi, kuwa na mikosi, kushindwa kupata kazi, kushindwa kupata watoto, kushikwa na ganzi nk wacheki nae kwa namba 0763-146231 au 0788-844490 na watasaidiwa kwani fitina zimetawala sana miongoni mwa jamii.

No comments:

Post a Comment