TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, March 25, 2016

DOKATA KAMGEDE MGANGA WA MASTAA AELEZA SIRI NZITO ZA MWANAMUZIKI DIAMOND NA MAMAAKE, USHIRIKINA WATAJWA KUDIDIMIZA MAISHA YA WATU..!


  MWANAMUZIKI DIAMOND AKIWA NA MAAKE MZAZI

  MTAALAM WA TIBA ZA ASILI TANZANIA ANAETAMBULIWA NA CHAMA CHA WAGANGA WA ASILI TANZANIA DOKTA KAMDEGE AKIWA OFISINI KWAKE TABORA WILAYA YA SIKONDE KIJIJI CHA UKANGA

 Na Mwandsihi Wetu -Tabora
Mganga maarufu nchini Tanzania na Duania kwa ujumla Dokta Kamdege ambae ni mtaalamu wa miti shamba ametoa siri nzito za ukaribu wa Mwanamuziki Diamond na Mamaake.
Mganga huyo toka Tabora ambae amekuwa akiumiza vichwa wazungu kwa tiba zinazotokana na miti shamba na ya asili ameongea na mwandishi wa gazeti la Maskani Bongo hivi karibuni na kueleza sababu kubwa ya mwanamuziki huyo nyota kuwa karibu na Mamaake alisema" Unajua yanaweza kuzungumzwa mengi juu ya huyu kijana wangu Diamond na jinsi anavyoonesha upendo wa dhati kwa mamaake hii ndiyo njia pekee inayompa baraka za mafanikio Diamond kwani Mama mzazi ni sehemu ya kwanza ya mafanikio katika maisha ya mwanadamu" Alisema
Aidha mganga huyo ambae amewahi kukaririwa na vyombo vya habari kuwa amechangia kumtoa mwanamuziki huyo kwa kumjaria kwa kutumia miti shamba aliongeza kusema kwa sasa mwanamuziki wake huyo ataendelea kuwa juu kutokana na radhi njema ya mamaake.
Dokta Kamdege ambae ameendelea kuweka rekodi kwa miti shamba zake anazotibu watu magonjwa mbalimbali lakini pia na kuwatengenezea watu njia za maisha baada ya kuharibiwa na wabaya, akielezea matukio mbalimbali yanayopelekea watu kushindwa kuendelea kwenye maisha alisema " Unajua kila binadamu na imani yake lakini mtu kama hajafikwa na majanga basi hawezi kuamini kama duniani kuna uchawi.
,Kamdege aliendelea kusema "Binadamu ni wabaya sana wanaharibia wenzao maisha makusudi, watu wamesoma lakini wanashindwa kupata  au kupandishwa vyeo, watu wanapandikizwa mikosi ya kila aina ili amradi wasipate maendeleo hivyo kama mtu ukigundua hali hiyo usikae kimya basi wahi ofisini kwake ukafunguliwe njia kwa kupewa zindiko maalum ambapo mtu mmbaya akijaribu kukugusa kwa nguvu za giza basi ataumbuka live" Alisema Kamdege
Mganga huyo alimaliza kusema uchawi upo na hata kwenye biblia au vitabu vingine vya mungu umetajwa na bado watu wanautumia kwa kuharibu maisha ya wengine hivyo kwa vile mungu amempa kalama yeye ya kujua miti shamba ya kutatua tatizo hilo basi ni vyema watu waendelee kufika kwake ili waweke sawa mambo yao kwa vile shetani nae anafanya kazi masaa yote kama walivyo wao hivyo ni lazima wawahi kupata tiba
Namba zake kwa yeyote mahara alipo Duniani basi awasiliane nae kwa namba hizi  0763-146231 au 0788-844490 na watasaidiwa kwani fitina zimetawala sana miongoni mwa jamii.

No comments:

Post a Comment