TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, January 21, 2016

BONGO MOVIE YAWEKWA CHINI YA ULINZI MKALI NA AFANDE MACHEMBA, WATANZANI WASEMA AFANDE HUYO PEKEE NDIYE ANAEWEZA KUVAA VIATU VYA MAREHEMU KANUMBA..!

 Afande Machemba akiwa mzigoni ambapo Watanzania wengi wamefurahishwa na kipaji cha msanii huyo toka Kanda ya Ziwa ambae kwa sasa amehamishiwa jeshi lake Jijini Dar ili kuikomboa tasnia hii ya filamu ambayo hadi sasa imebaki na wauza sura tu.
Afande Machemba akiwa kwenye moja ya sinema zake
Afande Machemba akiwa kwenye majukumu yake kikazi

Na Mwandishi Wetu
Matumaini ya watanzania yaliyokuwa yamepotea baada ya msanii aliyekuwa na uchungu na Tanzania pamoja na Tasinia ya Filamu marehemu Steven Kanumba  kuondoka Dunia, hatimae sasa yameanza kurejea baada ya msanii Kinda mwenye kipaji cha ajabu kwenye kuigiza Joseph Machemba maarufa kwa jina la "Afande Machemba" kuonesha anaweza
Msanii huyo mwenyeji wa Kanda ya Ziwa akitoka Mkoa wa Shinyanga kwa sasa ndiye amekuwa habari ya mjini kwenye tasnia ya filamu baada ya kuonesha uwezo wa kipekee kwenye moja ya filamu zake alizoshirikishwa ambapo zote zipo mtaani kwa sasa.
Filamu alizoonekana Afande Machemba ni pamoja na, Karoge  Tena, Night Dress, Akiri Nyingi, Siku Moja na nyinginezo nyingi.
Katika filamu hizo msanii huyo ameonesha kama anakipaji na anataka kuifisha tasnia hiyo kimataifa.
Akiongea na mwandishi wetu msanii huyo mpole na asiye na majivuno alisema " Kaka nawashukuru Watanzania kwa kunipokea kwa kweli kazi za mikono yangu zinapendwa sana ambapo hadi sasa watanzania wamenielewa nini ninachotaka kuwafanyia au kuifanyia nchi hii kimataifa hivyo waniunge mkono tu, lakini pia kwa sasa tayari nimepata mtu wa kunisimamia ambae ni mdau Livingstone Mkoi ambapo hadi sasa tayari ameanza kuniwekea mikakati ya kuwa Afande Machemba mwingine" Alisema

No comments:

Post a Comment