TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, January 21, 2016

HALI YA MSANII MANAIKI SANGA KIMAISHA INASIKITISHA, SASA ANAPAKIA MATOFARI JAPO APATE HELA YA KULA, MASKANIBONGOTZ LAMNASA LIVE..!

Msanii wa Filamu na magizo Manaiki Sanga akipatakia matofari huko Wazo kwa ajiri ya kujipatia ridhiki, ambapo imedaiwa kufuria kwa msanii huyo kumetokana na kuwapanga mademu kama ndoo bombani.
Kajala Masanja ametajwa kwenye kashfa ya kufilisika msanii Manaiki Sanga, huku watu wengi wakisema Kajala anatakiwa kutomtupa Manaiki kwa vile aliwahi kumsaidia vitu vingi kwenye sanaa.

No comments:

Post a Comment