TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, August 5, 2015

MANAIKI SANGA NA STAA WA FILAMU YA GOING BONGO WAISHIKA BONGO MOVIE KIMATAIFA, JB AMVULIA KOFIA MANAIKI SANGA KWA KAZI YA WAKE UP..!

 WASANII: Manaiki Sanga kulia akiwa na Ernest Napoleon  ambapo wasanii hao kwa pamoja sasa wameungana kuhakikisha wanaipeleka sanaa ya filamu ya Tanzania Kimataifa, ambapo Ernest Napoleon kwa sasa yupo nchini Kenya kwa ajiri ya maandalizi ya uzinduzi wa filamu yake ya Going Bongo hivi karibuni filamu ya Manaiki Sanga aliyowashirikisha wasanii mastaa zaidi ya 30 pamoja na sasa tarehe ya kutoka filamu hiyo ya Wake Up imetajwa mbapo ni tarehe 30 mwezi huu.


Hii ndiyo listi ya wasanii walioshiriki  kwenye filamu ya Wake Up .

No comments:

Post a Comment