TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, October 28, 2014

VITA MPYA YAIBUKA KATI YA MANAIKI SANGA NA DIAMOND NI BAADA YA MSANII MANAIKI KUMSHAURI DIAMOND KUACHANA NA MUZIKI KWASASA..!


Msanii Manaiki Sanga akiwa na Wema Sepetu ambapo picha hii iliwahi kuzusha balaa kubwa nchini Tanzani kiasi cha kuhatarisha mahusiano ya Wema na Diamond
 

Na Mwandishi Wetu
Mwanamuziki na msanii wa bongo Movie Manaiki Sanga  The Don ametoa ushauri mzito kwa mwanamuziki Naseeb Abdul  a.k.a Diamond na kusema kuwa mwanamuziki huyo anatakiwa kusoma alama za nyakati kipindiu cha ufalme wake kimefika kikomo anatakiwa sasa hivi kuachana na muziki badala yake afanye biashara tu.
Akiongea na mtandao Bossngasa Manaiki Sanga alisema" Napenda kumshauri Diamaond kwa sasa angestaafu kuimba badala yake afanye biashara kwa vile tayari amejikusanyia visenti kidogo na hapo atalinda heshima yake aliyojijengea muda mrefu" Alisema
Hata hivyo msanii huyo aliongeza kusema kuwa kitendo cha kuanza kusomewa hadi Jijini Dar kitafungulia njia hata mikoani au nje ya nchi nako watamzomea au atarushiwa mawe hali itazidi kuwa mbaya zaidi ni heri akaachana na muziki kwa sasa na hii imewakuta wasanii wengi wa Tanzania akiwemo Mr Nice.

No comments:

Post a Comment