TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, May 26, 2014

ANGALIA VITUKO VYA NDOA YA KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN JANA, ILIKUWA BALAA TUPU BEYONCE AWA WA KWANZA KUPOST PICHA HIZI...!


article-2638252-1E26AF4500000578-868_634x565
Kim Kardashian amekuwa Mrs. West rasmi leo baada ya kufunga ndoa na Kanye West.Mastaa hao wamefunga pingu za maisha kwenye harusi private iliyofanyika juu ya mlima Fort di Beleverdre huko Florence, Italia mbele za ndugu na marafiki zaoHata hivyo marafiki wakubwa wa Kanye, Jay Z na mke wake Beyonce hawakuwepo kwenye harusi hiyo.
Awali ilisemekana kuwa Jay Z angekuwa mpambe wa Kanye kwenye harusi hiyo kwakuwa wawili hao ni marafiki wa karibu. article-2638252-1E2BCD2D00000578-859_634x605Beyonce alipost picha hii muda ambao Kanye na Kim walikuwa wakifunga ndoa

No comments:

Post a Comment