TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, April 1, 2014

MASKINI DIAMOND NI KWELI AMEGONGWA NA GARI NIGERIA HALI YAKE SIO NZURI WATANZANIA TUTEME MATE CHINI, WEMA AANGULIA KILIO BAADA YA KUPIGIWA SIMU NA XDEEJYZA NA KUPEWA TAARIFA HIZO..!


Habari tulizozipata hivi punde ni kua Msanii Diamond aliyeponigeria amepata ajali mbaya na kuvunjika miguu yake yote miwili. Habari tulizozipata kutoka chanzo makini kinasema kua ajali hiyo ilitokea eneo la ouagadugu katikati ya Nigeria wakati Diamond alipokua akivuka Barabara.
Got ya!!!  Lol.



Hata hivyo baada ya taarifa hizo Xdeejayz jana usiku ilimtafuta Wema Sepetu kupitia simu yake ya kiganjani na ili kujua ukweli wa taarifa uvumi huo ambapo kumbe Wema mwenyewe alikuwa hajui kitu ambapo baada ya kufikishiwa tu taarifa hizo basi alianza kulia kwa sauti ya juu tena kwa uchungu kisha kukata simu yetu.
CREDIT:XDEEJAYZ TANZANIA

No comments:

Post a Comment