TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, March 31, 2014

KIJANA MWINGINE NAE ATANGAZA KUACHA USHOGA KUANZIA SASA ASEMA ANATAKA KUMRUDIA MUUMBA WAKE, ASEMA AMEIBA SANA WANAUME ZA WATU..!

Kijana aliyefahamika kwa jina la Emmanuel ambae alikuwa tishio kwa mapenzi ya jinsia moja lakini sasa hivi ametangaza kuachana kabisa na biashara hiyo badala yake anataka kumrudia muumba wake kwani tayari ameshaanza kutubu dhambi zake ili asamehewe, huku akisema kuwa amefanyakazi hiyo kwa muda sana tangu akiwa na umri mdogo na ameshatembea sana na waume za watu.
CREDIT:XDEEJAYZ TANZANIA

No comments:

Post a Comment