TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, April 16, 2014

DOKTA KAMDEGE ATIKISA NCHINI BURUNDI WANANCHI WAJAZANA KWENYE HOTEL ALIYOFIKIA SERIKALI YA BURUNDI YAMPA ULINZI WATU WENGI WAHITAJI UTAJIRI..!


Na Mwandishi Wetu- Bujumbura
Yule mganga maarufu wa mastaa mbalimbali na viongozi Serikalini Dokta Kamdege maarufu kama mganga wa mastaa nchini ametua nchini burundi ghafara baada ya wananchi wa huko kumuita haraka ili akawatatulie matatizo yao.
Akizungumza na moja kwa moja toka nchini Burundi na amefikia mji mkuu wa nchi hiyo Bujumbura kamdege alisema" Nimeamua kukatisha ziara yangu ya kuelekea Mkoani Mwanza baada ya wananchi wa huku kunitumia tiketi ya ndege ili nije haraka kuwaondolea shida zao na sasa nipo huku na watu ni wengi sana kiasi cha kunifanya nikeshe nikitoa huduma" Alisema mganga huyo

Hata hivyo mganga huyo anasema ana wiki mbili tu kuwepo nchini humo na wanahitaji kuondolewa matatizo yao na kuwa matajiri wampigie kwenye simu hii +25775560051  ambayo ni ya Burundi na atampata moja kwa moja.

No comments:

Post a Comment