
Akipiga stori mbili tatu na paparazi wetu, Dimpoz alisema picha zinazomwonesha akiwa chini ya ulinzi si tukio la kweli bali ni sehemu ya video ya wimbo wake mpya ambayo alikwenda kurekodia nchini humo.
...Dimpoz akiwa chini ya ulinzi katika video yake mpya.

No comments:
Post a Comment