TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, March 25, 2014

HABARI MPYA: BODABODA JIJINI DAR WAKO KWENYE MAANDAMANO MUDA HUU KUELEKEA OFISI ZA MKUU WA MKOA DAR KUPINGA KUZUIWA KUINGIA MJINI KWA BODABODA ZAO. XDEEJAYZ TANZANIA LIVE


Habari mpya zilizofika amezani kwa Xdeejayz muda huu zinasema kuwa kuna maandamano makubwa yameandaliwa na waendesha bodaboda Jijini hada wa Wilaya ya Ilala na muda huu yako maeneo ya Buguruni yanaelekea kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Mh Meck Sadiq. Xdeejayz inaendelea kukutaarifa hatua kwa hatu tukio hilo

No comments:

Post a Comment