TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, February 26, 2014

MWANAMKE ANAEDHANIWA MCHAWI AINGIA KWENYE CHUMBA CHA MAMA MJAMZITO KIMIUJIZA AKIWA NA MCHELE MBICHI NA UGALI YADAIWA ANGEFANIKIWA KULISHWA TU ASUBHI KUSINGEKUCHA, DOKTA KAMDEGE AELEZA KILA KITU, POLISI WATUMIA RISASI ZA MOTO KUMUOKOA..!

Dokta maarufu nchin Kamdege ambae amekuwa akiwasaidia watanzania kwa kuwapatia dawa za kuwaona wachawi live pamoja na kuwapatia nyota za mafanikio kwa kutumia miti shamba tu.
 
Dada anaedhaniwa mchawi Irene Robart (27) 
 
Sakina Shabani na Saidi Ngauya
MATUKIO ya kishirikina yameendelea kutanda nchini baada ya mwanamke mmoja, Irene Robart (27) katika hali isiyotarajiwa, aliibuka ghafla chumbani kwa mama mjamzito Kinondoni Moscow jijini Dar es Salaam, akiwa ameshika sahani iliyokuwa na mchele mbichi pamoja na ugali, huku akiwa hajulikani alikoingilia.
"HABARI ZAIDI ZINAPATIKANA KWENYE GAZETI LA MASKANI BONGO LEO MTAANI"

No comments:

Post a Comment