TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, February 6, 2014

BAADA YA SAKATA LA GESI WANANCHI NTWARA WAOMBA NYAMA YA PANYA IUZWE KWENYE MABUCHA, WASEMA KUWA MBONA CHINA WANAKULA NYOKA SERIKALI IKO POA TU. XDEEJAYZ INAKUPA A-Z!

Na Mwandishi wa Xdeejayz Ntwara
Baadhi ya wananchi Mkoani Ntwara wametoa kali ya mwaka baada ya kutaka Serikali ihalalishe ulaji wa kitoweo aina ya Panya na kuuzwa kwenye mabucha kama ilivyo kwa nyama nyingine kama Kuku, Bata, Ngo'ombe, Nguruwe na Mee.

Wakiongea na Xdeejayz kwa njia ya simu wananchi hao wanaopatikana  Wilaya za Masasi na Nanyumbu na Wilaya hizo hukaliwa na makabila ya Wamakuha, na baadhi yao ambao hadi sasa bado watumiaji wazuri wa kitoweo hicho cha Panya.

Aidha kabila jingine linalopenda kula kitoweo hichi ni Wamwela wanaoptanika Wilaya ya Nachingwea ambayo ipo Mkoani Lindi na walisema" Inapendeza kama Serikali itatoa ruhusu kufunguliwa kwa bucha za nyama ya panya kama ilivyo nchini China ambako kuna wanaokula nyoka na wengine hawali ndo iwe hivyo" Alisema kijana mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Juma
"GAZETI LA MASKANI BONGO LINAENDELEA KUWA TISHIO KAMA HUJABATIKA KUPATA NAKALA YAKO BASI UNACHELEWA TU WAHI MAPEMA KILA JUMATANO"

No comments:

Post a Comment