TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, February 7, 2014

PEPO MCHAFU AZIDI KUWAANDAMA WANAFUNZI DODOMA MWINGINE APIGA PICHA ZA UCHI MAKUSUDI NA KUZIRUSHA KWENYE MTANDAO ILI KUWATEGA WANAUME MAKUSUDI!




Na Mwandishi wa Xdeejayz
Pepo mbaya amezidi kuwatesa wanafunzi wa vyuo nchini kwa kujipiga picha za aibu tena kwa makusudi kisha kuzirusha kwenye mitandao kwa ajili ya kutafuta mabuzi ya kuyachuna.Picha nyingine zinadaiwa ni za mwanafunzi wa chuo kimoja mkoani Dodoma ambapo Blog  hii bado inazama ndani zaidi ili kujuwa anasoma chuo gani na jina lake halisi ni nani kwa vile kwenye mitandao msichana huyo alijitambulisha kwa jina la  Flora.Viongozi wa dini wametakiwa kuwaombea wanafunzi na wasichana wote wanafanya matukio kama hayo ya kujidhalilisha kwani huyo ni pepo mbaya ambae ni lazima akimewe ili asiendelee kuwaandama wanafunzi hao ambao taifa linawaandaa kuwa viongozi wa kesho.
TAARIFA:Blog hii inaendelea kuungana na taasisi na asasi za kidini kulani tabia chafu kama hizi za wanafunzi kujipiga picha chafu kisha kuzisambaza kwenye mitandao. Kwa pamoja tunasema hilo halikubariki kamwe tunawaomba walimu, wazazi na wale wote wanaohusika na kulea tuungane kukemea tabia kama hizi.
Wanaoruhusiwa kuangalia blog hii ni wale waliojuu ya miaka 18
"GAZETI LAKO PENDWA NAMBA MOJA TANZANIA LA  MASKANI BONGO LINAZIDI KUTIKISA NCHI KWA MABADILIKO YA HABARI PATA KOPI YAKO SASA KILA JUMATANO" 

No comments:

Post a Comment