TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, August 28, 2013

JESHI LA POLISI KANDA YA KINONDONI LATOA KAURI KUHUSIANA NA PICHA CHAFU ZA MANAIKI SANGA.XDEEJAYZ YAFANYA MAHOJIANO NA MKUU WA KITUO CHA POLISI OYSTERBAY!

 Wema Sepetu akiwa na aliyekuwa mchumbaake
  Wema Sepetu akiwa Diamond


  Picha ya utupu ya Wema  Sepetu ambayo aliitupia mtandaoni hivi karibuni na kuzusha maswali kibao.

  Wema Sepetu akiwa Chalz Baba
 Picha hii ambayo ilisadikika ni msanii Lulu Michael ambayo ilizua gumzo kubwa kwenye mitandao yote ya kijamii miaka kadhaa iliyopita.

  Mwanadada anaeshikilia kwa tuhuma za madawa ya kulevya nchini Afrika Kusini Agnes Masogange akiwa mwenye picha pozi moja ya picha zinazopatikana kwenye mitandao yote.
 Msanii Manaiki ambae siku za hivi karibuni amekuwa maarufu ghafla baada ya kudaiwa kutupia picha zake kwenye mtandao ukimuonesha akiwa na mabint mbalimbali. Licha kwamba mwenyewe amesema akuwa alipoteza kamera yake hivyo kusababisha picha zake za siri kuvuja


  Diana Kimario "Mikogo" akiwa kwenye mahaba mazito na Manaiki


 Picha hii ni ya wanafunzi wa Chuo cha UDOM ambapo walipiga picha wakifanya ngono kisha picha zao kuzisambaza makusudi kwenye mitandao ili watu wawaone.




  Masogange akiwa na bwanaake picha hiyo ilisambazwa kwenye mtandao na wahusika kwa lengo la kujipa promo




  Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar es salaam Bw. Ally M.O.Mlege kushoto ambae amesema Jeshi la Polisi limejipanga vya kutosha kuhusu sakata la madawa kupita njia za barabara hasa kwa mabasi toka nchi jirani!

  Irine Uwoya ambae amelaumiwa vikali na wadau kwa upigaji picha za aibu kama hizi ndio imekuwa sababu ya wasanii wachanga kuiga tabia kama hii wakiamini inaweza kuwapa umaarufu kama yeye. Jambo ambalo sio kweli...
 Jack wa Chulz akiwa kwenye picha ya kivazi cha nusu uchi


  Mmh
  Picha hii iliwahi kutikisa miaka ya nyuma ambayo ni aliyekuwa mwanafunzi wa cho kimoja mkoani.
 
 
  Irine Kanka ambe ni msanii nyota wa filamu na alikuwa msindi namba 3 Miss Temeke 2011.


Na Mwandishi Wetu.

Jeshi la Polisi Kanda ya Kinondoni limetoa kauri nzito kuhusu picha za udhalilishaji zilinazosambazwa na wasanii wetu wa bongo movie zikiwemo za Manaiki Sanga.
Akiongea na Xdeejayz mkuu wa kituo cha Polisi Oysterbay “OCD” Mtafungwa alisema kuwa kimsingi kupiga picha za utupu ni kosa kisheria hivyo endapo muhusika akimatwa atashtakiwa kwa mujibu wa sheria.
Mtafungwa aliendelea kufafanua kuwa” Unajuwa Jeshi la Polisi lipo kwa ajili ya kusimamia sheria iliyowekwa na serikali hivyo huwa kuna namna ya kuwakamata wahusika hasa kama kumetokea malalamiko toka idara flani kuhusiana na matukio yoyote yanayopelekea uvunjifu wa amani au kupotosha maadili” Alisema Kamanda huyo kipenzi cha watu
Aidha Kamanda huyo aliendelea kufafanua “ Pia Jeshi la polisi linamamlaka ya kumkamata mharifu yeyote kwa muda wowote endapo kipindi hicho akikutwa anafanya uharifu ni pamoja na upigaji picha hizo chafu, Lakini kubwa tuhajitaji kumkata mtu na ushahidi ili iwe rahisi kumbana na kumfikisha mbele ya sheria” Alisema
Mtafungwa alimaliza kusema “ Tunaendelea kufatilia kupita mitandao ya kijamii ili kuona hizo picha zikoje halafu tuhaahidi kuwatolea taarifa hadharani kupita kwa msemaji wa Jeshi la Polisi Kanda ya Kinondoni RPC Wambura ambae kisheria ndiye mwenye mamlaka ya kusema” Alisema Mtafungwa
Aidha xdeejayz ilifanya kazi ya ziada ya kumtafuta Manaiki Sanga ambae kwa sasa amekimbia Jiji na yuko Wilayani Mufindi Mkoa wa Iringa nyumbani kwao ambapo baada ya kubadili namba ya simu lakini jitahada zilizofanywa na xdeejayz zilifanikisha kupata namba yake ya simu mpya na msanii huyo aliweza kufunguka mengi.
Manaiki alianza kwa kusema “ Any ways mimi sina la kuongea kama kuchafuka nimeshachafuka na hivi ninavyokwambia nipo nyumbani kwa mke wangu huku Mafinga kwani kuvuja kwa picha zangu za faragha zimenisababishia matatizo makubwa sana hadi mke wangu amenikimbia” Alisema Manaiki
Hata hivyo xdeejayz ilipohitaji kujuwa kuhusu picha zake zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii na kwenye magazeti pendwa zikimuonesha alikawa amekatwa Manaiki alijibu“ Hata mimi nilishangaa kuona taarifa kuwa nimekamatwa kisa picha zangu binafsi za faragha ukweli kwamba sio kweli. Mimi sikukamatwa kwa kosa hilo isipokuwa nilikamatwa huku Iringa siku nilipokuwa natoka huko Dar na walionikamata ni askari wa dolia na baada ya majibizano ya hapa na pale wakanifunga pingu lakini kabla hawajanifikisha kituo cha polisi Mufindi wakaniachia baada ya kuwaomba radhi kwa kosa la kutovaa mkanda wakati naendesha gari langu nikiwa na mdogo wangu wa kiume” Alisema Manaiki
Manaiki aliendelea kueleza siku iliyouata nilishangaa kuona picha zangu kwenye mitandao ya Facebook na Blogs zilinionesha nikiwa nimekamatwa na polisi na hata sijui ni nani alinipiga hizo picha lakini nadhani huenda wakawa askari wenyewe kwa vile siku hiyo ilikuwa usiku mkubwa na hapakuwa na mwananchi yeyote aliyeshuhudia.
Aidha Manaiki alimaliza kusema kuwa “ Kupotea kwa camera yangu ambayo ilikuwa imesheheni picha zangu na wasanii wenzangu zimenighalimu sana kwani nimepata usumbufu mkubwa sana toka ndani ya familia yangu na huku mke wangu akishindwa kunielewa na kukimbia na kuja huku kwao ambapo nimekuja kwa ajili ya kusuruhisha” Na kuongea kuwa alifanya kosa kubwa baada ya kupotelewa na camera yake hakwenda kutoa taarifa polisi kwa vile alikuwa na camera mbili.

Hata hivyo kufuatia taarifa hiyo mastaa wengi wamekuwa tumbo joto kutokana na kuweka picha ningi kwenye mitandao kwa makusudi ili kujiongezea umaarufu hivyo endapo kweli Jeshi hilo litatilia mkazo suala hilo huenda wako watakao hama mji kwa kuhifia kukamatwa.

Aidha Xdeejayz ilipata nafasi ya kuongea na Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar es Salaam Ally M. O. Mlege alisema kuwa Jeshi la Polisi limeongeza ulinzi maalum usionekana kwenye vituo vya mabasi toka nje ya nchi ikiwa na lengo la kuthibiti uingizwaji wa dawa za kulevya baada ya njia ya Airport kuwa ngumu hivyo wanaamini huenda wafanyabishara hao wakabadilisha mfumo huo.




No comments:

Post a Comment