TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, July 16, 2013

MSANII WA COMEDIAN POSA AFARIKI DUNIA LEO KATIKA HOSPITALI YA MWANANYAMALA
























TANZANIA COMEDIAN'S ASSOSIATION inasikitika kukuambia kuwa comedian mwenzetu posa...
amefariki dunia jana saa 3 asubui katika hospitali ya mwananyamala alipokuwa amelazwa taarifa zaidi za msiba utakapokuwepo tutaambiana ila watu bado tupo hospitali tafadhari mjulishe na mwenzio.. R.I.P POSA.kwa habrai na picha kuhusu msanii huyu utazipata hapa hapa KWENYE BLOG YAKO.
 
chanzo MKWERE ORIGINAL

No comments:

Post a Comment