TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, July 19, 2013

ANGALIA DIAMOND PLATNUM ALIVYOFUTURISHA






Mwengi Ally Shem Lake akisababisha mambo jikoni.....

Esmah Khan mwenyewe....



Recho kizungu zungu akishugulikia mahanjumati....

Dada zangu hao wawili wakishugulika......Watoto wa kimanyema



Vyanda vyandani sasaaa....

Bi Sandrah akiweka sawa vitu......




bado dakika kadhaa tushuke ulingoni...hahaha



Tukiwa tumekusanyika kwa pamoja tayari kupata Iftar

















Hapana chezea MAHANJUMATI haya 
bhana yaliyopikwa yakapikika....

Time hii amna stori ni mikono na midomo inacheza tu stori baadae...



Mwasiti nae alikuwepo.......



Hamza Bala nae hakukosekana....
Weee sibanduki hapa kabisa ni kung'ata ng'ata tu.....



Dumi mwenye utamu wake.....



Darleen,Mwasiti & Recho...
























Njooo na wewe tujumuike ama niniii..?

No comments:

Post a Comment