
RED CARPET:
Red carpet ilikuwa busy na media tofauti with different taste ya nguo mbalimbali japokuwa card za mualiko zilikuwa zinasema dress code iwe ki-africa(kikwetukwetu).Sasa basi kila mtu akatupia kachumbari yake, waliotupia fresh ni poa..waliochemsha next time tafuteni ma-designer wawasaidie nguo za kuvaa. Hawa ni baadhi ya watu waliovaa vizuri wakapendeza ambao walipita mbele ya camera ya bongomovietz.com
PATCHO MWAMBA

ZAMARADI MKETEMA

Mc wa usiku wa Bongomovie awards, alipendeza mwanzo mwisho kuanzia chini hadi juu. Hakuna cha kuongeza wala kuzungumzia, purple color ndiyo moja ya rangi zinzo-kick sana kwenye dunia ya fashion. So with that dress ambayo ilikuwa na sehemu kubwa with rangi ya purple, no doubt it was perfect.
RAY

Suti always inakuwa classic, lakini ikiongezewa kitu cha ziada inakua poa sana. Koti la suti la Ray lilikuwa na touch za animal print plus neck tie aliyotupia ilitisha sana. Yap, that was nice Mr director.
IRENE PAUL

Best new actress, yeye ni mweupe na nguo yake nyeusi alitokelezea
SHAMSA FORD
Unaweza kumcheki hapo alivyotokelezea na dress lake jekundu.
JB
Watoto wa New York wanaiita “All black Everything”, Bonge la bwana he was about to it. Kasori shati lakini still rangi nyeusi kuanzia suti yake,tai hadi kiatu vilimtoa vizuri sana.
WASHINDI WA USIKU HUO
Kwanza kabisa zilianza awards za heshima;
1. STEVEN KANUMBA
Tuzo ilipokelewa na mama yake amaye aliambatana na baadhi ya watu wa Kanumba the great filim.
2. JUMA KILOWOKO – SAJUKI



Tuzo ilipokelewa na mke wake Wastara Juma
3. HUSSEIN MKIETI – SHARO MILLIONEA

Tuzo hii ilipokelewa na mtu wake wa karibu katika kazi Mzee Majuto
No comments:
Post a Comment