TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, June 24, 2013

SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU MAMA YAKE BARNABAS




Mama yake  mzazi na msanii diamond platnum bi Sandrah ambae alienda kuniwakilisha akiwasili maeneo ya kigogo
msiba ulipokuwepo akiwa na
dada angu Esmah Khan....
Umati wa watu ukiwa umekusanyika nyumbani kwakina
Barnaba  kutoa heshima za mwisho..!
Familia wakitoa heshima za mwisho.....!!

Ni huzuni na sintoamini utawala kipindi hiki inapofika kuagana
 mara ya mwisho na mpendwa wako....
Barnaba akiagana na Mama ake kwa mara ya mwisho.....!!


Madee akiwa na  Lady Naa......!!

Joh Makini baada ya Kuaga Mwili.....!!
Baadhi ya wanakikundi wanaounda Tanzania House of Talent (T.H.T)



Mwili ukiwa umepakiwa tayari kabisa kuelekea makaburini
kwaajili ya maziko kumpumzisha
Mama....!!


Esmah Khan & Hawa walikuwepo
kuwafariji wafiwa...

Hapa mwili ukiwa umewasili makaburini tayari kabisa kwa maziko...!

Jeneza likishushwa kaburini na wanafamilia....!!


Barnaba akitupa mchanga wa mwisho kwenye kaburi la marehemu mama yake

Barnaba akionekana kuishiwa na nguvu kabisa mpaka kufikia
hatua ya kutokuweza kusimama,
ilibidi asaidiwe...!!
Mume wa Bi Mariamu Arubeth akiweka mchanga kaburini...!!
Jeneza likiwa ndani ya kaburi tayari kwa kuanza kufukia na mchanga.....!

Hyper Man HK alikuwepo pembeni na mwanamuziki Shilole...!!
Producer Lamar  wa Fishacrab Studio alikuwepo pia...!
Hali ile ya uchungu na kulia sana ilipelekea Barnaba kukosa
nguvu na kuzimia kwa dakika kadhaa...


Baada ya kuzinduka akisaidiwa kuingia kwenye gari kuwaishwa
Hospital kutokana na kupoteza nguvu kabisa...!!

Simple the Boyalionekana kuwa mbele kwenye
 ratiba ya makaburini
 kuakikisha mipango inaenda sawa...!!


Mume wa Marehemu akisimika msalaba kaburini
..!!
Msemaji wa familia akisoma historia fupi ya
 marehemu Mariamu Arubeth...!!








Msemai wa Familia akitoa maelekezo kwa waombolezaji mara
 baada ya kumaliza shuguli a maziko...!!

Umati wa waombolezaji wakitawanyika makaburini baada
ya shuguli ya mazishi kukamilika...!!
picha na this is diamond

No comments:

Post a Comment