TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, June 3, 2013

HUU NDIO UKWELI KUHUSIANA NA MESSAGE ILIYOSAMBAA SANA KUA P FUNK NA MCHOMVU WALIPIGANA VIWANJA VYA LEADERS. SOMA HAPA

 



Leo jioni kuna msg zilikuwa zikitembea zikisema kuwa Prod Majani amepigana na mtangazaji kutoka Clouds FM anajulikana kwa jina la Adam Mchomvu maeneo ya Learders Club wakati sio kweli kabisa. P-Funk yeye alikuwa busy na kamati na hadi uvumi huo unatokea Adam alikuwa hayupo kwenye eneo la tukio kabisa. Adam yeye alitokea majira ya jioni na kushangaa story hizo, picha hiyo niliwapiga wakiwa pamoja ili kuwaambia watu kuwa huo uvumi ni kutaka kuleta mvurugano wakati huu tuliokuwa nao wakuondokewa na mwenzetu Albert Mangweha

Chanzo na Dj choka

No comments:

Post a Comment