TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, May 31, 2013

BAADA YA FUKUFUKU LA GESI BURUDANI ZAREJEA MTWARA, WATU WANA BATA MWANZO MWISHO!

 Kudadeki hizi bia nimezinywa lakini haitoshi bora nioge kabisaaa!

Aa acha tule raha sisi, Hayo mambo ya Gesi haya tuhusu bana sisi watoto wa kike.


Ngoma za DJ Bwege wa Maisha Club jinsi alivyowapagawisha mashabiki wa Mtwara.



 Kudadeki nani amekwambia kuwa Ntwara hakuna watoto wakali ebu cheki totozi za kimakonde hizo.


Nani kakwambia kuwa wanafunzi haturuhusiwa kula bata? Burudani zinanafasi yake bwana asikwambie mtu hapa ni kuponda raha tu hadi asubuhi.......



No comments:

Post a Comment