TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, May 30, 2013

MITINDO:FLAVIANA MATATA ALAMBA DILI NONO TRUWORTHS


Miss Universe 2007,Flaviana Matata week moja imepita tangu alambe donge nono
la kuwa Model ndani ya Kampuni ya kutengeneza mavazi ya aina mbalimbali
TRUWORTHS na Juzi kati aliweza kupiga picha za kwanza kama model wa
TRUWORTHS baada ya kusaini mkataba huo Nchini South Africa...
Flaviana aliezaliwa Mwaka 1988,June 9 shinyanga nchini Tanzania...
Alishinda Miss Universe Tanzania na alienda kukupeperusha bendera
ya Tanzania na kuwa Mshindi wa 6......Flaviana matata ameshiriki mashindano
mengi ya urembo ikiweno Runway ya kwanza chini ya Mwanamitindo
Mustapha Hassanali,Vivienne Eastwood,Tory Burch,Suno & Louise Gray na
Mshirika wake wa Nguvu Alexander McQueen......

This Is Diamond inamtakia Mafanikio na Baraka tele kwenye
kazi yake ya Unamitindo
afike mbali kuipeperusha Bendera ya Taifa Letu Tanzania....


No comments:

Post a Comment