TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, April 16, 2013

WEMA SEPETU ASEMA HAKUNA STAR KAMA YEYE TANZANIA

 Mwanadada star Tanzania shineng star WEMA SEPETU amesema hakuna star kama yeye Tanzania,ameyasema hayo leo katika kipindi cha uhead clouds fm na sudy brown baada ya kupigiwa simu na kuhulizwa kuhusu simu aliyompigia DIAMOND PLATNUMA inayosemekana alikuwa anabembeleza PENZI kwa mnyama DIAMOND PLATNUM na kumpa PENNY kuongea na WEMA SEPETU.

WEMA alisema diamond anatafuta kick kama hana kick asipende kumfatilia yeye kwani yeye anafurahia maisha anayoyaishi sasa. alivyopigiwa simu DIAMOND PLATNUM nae alisema ni kweli wema alimpigia simu usiku huo na akampa simu demu wake aongee nae penny mwingila.

No comments:

Post a Comment