TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Saturday, March 30, 2013

ALICHOKIANDIKA MUMEWE JACQUE PENTZEL GADNER DIBIBI KWENYE FACEBOOK KUHUSU KUWA NA MKE MWENGINE KABLA YA JACQUE!

 

 GADNER DIBIBI
  1. Kwa wale wote ambao wanasema mm ni mume wa mtu ...jamani cjawahi kuoa wala kumchumbia mtu,,,,,, ndoa yangu ya kwanza ni hii niliooa siku chache zilizopita na kauthar Dibibi(jacque pentzel) naomba nieleweke .maana maswali yamekuwa mengi na ambao mnaoniinbox msg zisizoeleweka pia muelewe kama mm ni mume wa mtu plz naomba tuheshimiane.

    Like ·  · 


Hapa gadner dibibi akifunga ndoa

No comments:

Post a Comment