TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, February 27, 2013

Q CHILLAH AINGIA NA KITANDA CHA SITA KWA SITA KWENYE STAGE@NEW MAISHA CLUB

 Msanii mkuongwe wa bongo fleva  q chilla ameingia kwenye stage na style yakipekee kabisa new maisha club jumapili iliyopita wakati wa show yake ya CHILLAH IS BACK hakuna alietegemea kitu ambacho q chilla angekifanya mwisho wa siku yowe na shagwe zilianguka kwa ukumbi wa maraha wa maisha club kusha ngilia kumuonna q chillah akionekana juuu ya kitanda cha sita kwa sita kwnye ukumbi wa new maisha club . kiukweli ilikuwa raha sana show ilikuwa kali na ni kweli q chillah is bach meeeeen.













No comments:

Post a Comment