TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, December 13, 2012

MUNGU AKINIJALIA HADI MWAKANI NATAKA NIWAINUE UNDERGROUND KUMI WAWE MASTAA!

Staa wa filamu za Kitanzania Nisha 
akiwa kwenye picha za pozi.
Na Livingstone Mkoi
Msanii nyota wa filamu Tanzania Nisha amesema kuwa ana mpango maalum wa kuwainua wasanii kumi wachanga na kuwa mastaa kabisa kwa vile wamekuwa wakisahaulika sana na kukumbwa na mitihani mizito.

Nisha akiongea na Xdeejayz msanii huyo alisema kuwa"Wasanii wachanga wanateseka sana wengi wao hasa wakike wanakumbwa na mitihani ya rushwa ya ngono bila msaada wowote nitawasaidia kadri nitakavyojaliwa kwani wako wengi wana vipaji" Alisema Nisha

Msanii huyo aliongeza kusema kuwa kama Mungu amemjalia yeye kupiga hatua kadhaa mbele lazima na yeye awavute wengine na sio kuwa wachoyo kwani hata kanuni za vitatu vya mungu vinasema ukitaka kufanikiwa kwa jambo lolote usiwe mchoyo.

1 comment:

  1. hivi kwani wewe nisha ni star?!!! unafahamu maana ya neno hilo??? doooh kweli TZ ujinga umewazidi umri

    ReplyDelete