TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, October 31, 2012

YALIOJILI KWENYE UZINDUZI WA MOVIE MPYA YA JAMES BOND - SKY FALL 007

Mc wa heineken premium beer EVANCE BUKUKU,mfanyakazi wa heineken MOHANA na  bond gal wa heineken NEY NAI NAI wakikabidhi zawadi kwa wateja wa heineken waliojishindia nafasi ya kulala hotel ya HAYAT wiki nzima kwenye bahati nasibu iliyochezeshwa siku hiyo ya premier of SKY FALL007 iliyofanyika katika ukumbi wa mliman city.alhamis ya wiki iliyopita

Trade partiners wa HEINEKEN QUALITY BEER wakifurahia their life experience kwenye uzinduzi huo.

Huu ndio ukumbi uliofanyika uzinduzi huo wa SKY FALL 007

Ukumbi ulipambwa na magari ya kifahari duniani yaliyotumika kwenye movie hiyo ya JAMES BOND SKY FALL

MR UCHE ambaye ni COUNTRY  MANAGER wa  HEINEKEN

FEZA KESI mmoja wa waalikwa kwenye uzinduzi huo

CONSUMERS


CONSUMERS wa HEINEKEN PREMIUM BEER

PREMIUM CONSUMERS kwenye PREMIUM EVENT

Wateja wa heineken wakijipatia heineken kwenye bar ya heineken

 

Bar ya heineken

Ukishika bia ya heineken kiukweli inapendeza sana mkononi kama unavyoona wateja wa heineken hapo kwenye picha wanavyopendeza za bia zao mikononi.

PREMIUM VENUE FOR PREMIUM PEOPLE

Moja kati ya masuperstar wa tanzania abwene yesaya AY akifurahia bia yake ya HEINEKEN kwenye uzinduzi wa SKY FALL. 


 

THE VENUE 

No comments:

Post a Comment