TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, August 28, 2012

T.I.D,AUSISHWA NA TUHUMA ZA KUTAKA KUMUUWA ALI KIBA ,OMMY DIMPOZ NA DIAMOND

 Mchana wa leo msanii maalufu wa bongo fleva khalid mohamed a.k.a t.id amefikishwa kituo cha police kwa tuhuma za kutaka kumuuwa msaniii wa bongo fleva ali kiba.inavyosemakana tuhuma hizo zimefikishwa baada ya kukamatwa mwanadada ambaye alijifanya anampenda ali kiba kimapenzi kumbe sio kweli ana yake moyoni baada ya  moyoni kiliendelea kutupa habari chanzo chetu, msichana huyo alianza kumtaja t,i.d kuwa ndio aliemtuma kwenda kutaka kujaribu kufanya tukio hilo.na chakushangaza zaidi baadae msichana huyo aliwataja wasanii wengine ambao watafata kuuwawa baada ya ali kiba ni Diamond platnam na Ommy dimpoz.  mpaka asubuhi hii t.i.d bado yupo mikononi mwa police akiojiwa zaidi kuhusu tuhuma hizo.
 hapa kiba kama anasema wanataka kunishoo.......t   kwasababu muziki wangu sio bazoka kama wako.
 khalid mohamed a.k.a t.i.d
 Mie sina ugomvi na ali kiba wala nini tangu nizaliwe sijawahi kugombana na ali kiba wala kurushiana nae maneno inakuwaje leo hiii nipate tuhuma hizi? alisema t.i.d hili nimesingiziwa na naomba huyo dada apimwe akili sidhani kama ana akili vizuri.
 diamond akiwa na ommy dimpoz ambao nao walikuwa wafuate baada ya ali kiba kwa mujibu wa chanzo chetu.
.Dimpoz akiwa na ali kibba

HAPPY BIRTHDAY BESSE COOPER! WORLD’S OLDEST LIVING PERSON TURNS 116




  Besse Cooper, the world's oldest living person, marked another milestone today, when she celebrated her 116th birthday.

Besse, from Monroe, Georgia, USA, was first certified as the world's oldest person by Guinness World Records in January 2011.
Senior Consultant of Gerontology for Guinness World Records, Robert Young, presented Besse with an updated Guinness World Records plaque as part of her birthday festivities which took place at her nursing home facility in Monroe, Georgia.
She had to relinquish the title for a few months when it was discovered that Brazilian-born Maria Gomes Valentim was 48 days older. However, when Maria died on June 21, 2011, Besse was reinstated as the world's oldest person and has held that title ever since.
Her birthday was marked with the a ribbon cutting ceremony dedicating a recently completed bridge on New Hope Church Road in her honour.
Born in Tennessee in 1896, Besse moved to Monroe, during World War One in search of work as a teacher.
She married her husband Luther in 1924, and they had four children. Today, she has 12 grandchildren and more than a dozen great-grandchildren and great-great grandchildren.
Speaking at the bridge ceremony, Besse's son, Sidney, said "The older she has gotten the more wittier she has gotten,"
Relaying a message from the honoree he later added, "I'm glad I gave them a reason to name it."
Besse Cooper is among an elite group of eight super centenarians who have lived to the age of 116.
Her secret to longevity?  "I mind my own business," Cooper says. "And I don't eat junk food."

Monday, August 27, 2012

USAUN BOLT ATEMBELEA OLD TRAFFORD

 Mjamaica mwenye mbio kali sana jana alitembelea kiwanja maalufu sana dunia kinachomilikiwa na timu kubwa duniani Man u cha old trafford.