TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, October 12, 2015

ZANZIBAR KWALIPUKA MOTO, WATU WAHAHA KILA KONA, WENGI WASHINDWA KUAMINI MACHO YAO, JESHI LA POLISI LAENDELEA NA MSAKO MKALI ILI KUBAINI WANAOHUSIKA, ANGALIA TUKIO HILI..!


 Msanii Manaika Sanga akiwa na mashabiki wake walimuomba wapige picha nao huko Zanzibar ambako yupo kuangalia mwenendo wa  mauzo ya filamu yake Iitwayo Wake Up  pamoja na kuwasaka wezi wa kazi za wasanii kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoani humo
Mmoja wa mashabiki wa Manaiki akiwa kwenye picha ya pozi
 Msanii Manaika Sanga akiwa na shabiki wake

 Msanii Manaika Sanga akiwa na mashabiki wake ambao ni wapemba wakifurahia baada ya kumuona msanii huyo live, Manaiki Sanga amejichukulia umaarufu mkubwa na heshima baada ya kutoka kwa filamu ya Wake Up




Msanii Manaika Sanga wiki iliyopita alizikonga nyoyo za mashabiki wake huko Zanzibar baada ya kufanya ziara ya kushtukiza huku umati mkubwa wa watu ukimsonga japo kumshika mkono pamoja na kupiga nae picha za ukumbusho.
Manaiki Sanga ambae toka kwenye mtandao wake wa kijamii anasema kuwa bado anaendelea na msako kwa wezi wa kazi za wasanii ambapo amekuwa akifanya kimya kimya ili kubaini kama kuna watu au mtu atakuwa anahujumu mauzo ya kazi yake mpya ya Wake Up filamu ambayo hadi sasa imevunja rekodi baada ya kuuza nakala nyingi kuliko filamu yoyote.
Aidha msanii huyo aliendelea kutoa angalizo kwa wezi wa kazi za wasanii na kusema msako mkali bado unaendelea kushirikiana na maofisa wa Jeshi la Polisi ambao amekuwa akizunguka nao kila mahara na kama watafanikiwa kumkamata mtu basi huyo jela ina mwita

No comments:

Post a Comment