TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Sunday, August 23, 2015

SIKU 8 ZA MAAJABU YA FILAMU YA "WAKE UP". SOKONI,YASUBIRIWA NCHINI UINGEREZA KWA AJIRI YA UZINDUZI..!

 STAA WA FILAMU YA WAKE MANAIKI SANGA AKIZUNGUMZA NA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI KUELEZEA UINGIANI SOKONI WA FILAMU HII YA KWANZA TANZANIA KWA KUCHEZWA NA MASTAA ZAIDI YA 30 HUKU IKITUMIA GHARAMA ZAIDI YA MILIONI 50 HADI KUKAMILIKA.
BOFYA HAPA KUONA FILAMU YA WAKE YA MSANII MANAIKI SANGA
 ERNEST NAPOLEON AMBAE KWA SASA AMEUNGANA NA MSANII MANAIKI SANGA KWA AJIRI YA KUIPELEKA SANAA YA TANZANIA HUKO DUNIANI ILI KUITANGAZA NCHI.

SIKU 8 ZA FILAMU YA MSANII MANAIKI SANGA KUFANYA MAAJABU SOKONI KWA KUVUNJA REKODI YA FILAMU ZOTE ZILIZOTANGULIA KUTOKANA NA UBORA WA FILAMU HIYO NA JINSI MAMILIONI YA WATU WANAVYOISUBIRI MTAANI NA WIKI IJAYO TAREHE 31 KWA MARA YA KWANZA ITAINGIA MTAANI
HATA HIVYO IMEELEZWA KUWA FILAMU HIYO TAYARI IMETUA NCHINI UINGEREZA KWA AJIRI YA UZINDUZI KWENYE UKUMBI AMBAO HADI SASA HAUJAFAHAMIKA.

No comments:

Post a Comment