TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, March 4, 2015

UKAHABA WAMTIKISA MREMBO HUYU, PICHA ZA CCTV CAMERA ZAZIDI KUMUUMBUA, YADAIWA NI SHEMEJI NA MFANYABISHARA TEVES ALITEKWA AFRIKA KUSINI..!




Na Mwandishi Wetu
Katika hali isiyokuwa ya kaiwaida tangu kuanikwa mitandaoni kwa picha za msichana aliyefahamika kwa jina moja la Zuu kuhusu kukutwa na kashfa mbalimbali za umafia anaowafanyia wanaume hatimae mambo hadharani.
Habari za uhakika toka kwa vyanzo mbalimbali vilivyopo karibu na dada huyo zilisema kuwa msichana huyo kwa sasa anaishi kama digidigi  kutokana na kutafutwa na Jeshi la Polisi nchini na la nchi za Uganga na Kenya kutokana na mambo aliyoyafanya nchini humo.
Vyanzo hivyo viliendelea kusema kuwa msichana amekuwa akijiuza kutumia mitandao ya kijamii pamoja na kutembelea kwenye mahotel makubwa kwa ajili ya kutafuta wanaume na tayari kuna ushahidi wa picha za CCTV Camera zilizomnasa msichana huyo akitoroka kwenye moja ya hotel moja iliyopo Sinza mara baada ya kumuibia mfanyabishara mmoja mara baada ya kumuwekea dawa za kulevya kwenye kinywaji.
Hata hivyo msichana huyo ambae kwa mujibu wa vyanzo hivyo vilisema kuwa nchini Kenya anatafutwa usiku na mchana na taarifa zake zimesambazwa kila Hotel kutokana na kuwawekea wanaume madawa ya kulevya  kwenye vinywaji.
Aidha msichana huyo ambae ni shemeji na mfanyabiashara aliyekutwa na majanga ya kufanyiwa unyama Teves, hata hivyo tahadhari kubwa imetolewa kwa wanaume wote Tanzania kumuangalia kwa umakini mrembo huyo ili asiweze kuleta madhara kwenye jamii kwani ndani ya mkoba wake hutembea na madawa ya kuwatilia wanaume kwenye vinywaji ili kuwazimisha.
Hata hivyo habari nyingine zinasema msichana huyo amecheza mkanda wa X na msanii mmoja maarufu Afrika Mashariki na kati huko nchini Kenya na mtandao huu unautafuta kwa udi na uvumba mkanda huo ili kuuanika hadharani.
Mtandao huu ulifanyajitahada za kumtafuta msichana huyo  ili kueleza tuhuma zinazomkabiri alijibu hivi “ Hata kama nashughurika na ukahaba nyie inawahusu nini? Nyie andikeni ili mnipe umaarufu hapa mjini na hata kama ntaenda jela nyie mnaumia nini mimi nina undugu na n nyie? Sipendi******* wenu” Alijibu Zuu

No comments:

Post a Comment